Author: jomushi
Kambi ya Edward Lowassa Sasa Rasmi Chadema
SASA ni rasmi kwamba kambi ya aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Edward Lowassa imeamua kuachana na chama hicho baada ya madiwani 18 kutangaza…
Continue Reading....Mwanahabari Kalulunga Achukua Fomu Kugombea Ubunge Mbeya Vijiini
Na Mwandishi Wetu, Mbeya MWANDISHI wa habari mbobezi wa masuala ya Afya ya uzazi na dawa za kulevya nchini, Gordon Kalulunga, leo amechukua fomu ya…
Continue Reading....Msanii ‘Banza Stone’, Ramadhan Masanja Azikwa Dar
MSANII nyota wa muziki wa dansi nchini aliyefariki dunia jana jijini Dar es Salaam, Ramadhani Masanja au maarufu kwa jina la Banza Stone amezikwa leo…
Continue Reading....Mgombea Urais wa CCM, Dk. John Magufuli Awasili Mwanza Kujitambulisha
Dk. John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo. Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM), Dk.…
Continue Reading....Rais Kikwete Awaasa Watanzania Nje Kusaidiana Katika Fursa
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka Watanzania wanaofanya kazi katika mashirika ya kimataifa nje ya nchi kuwasaidia Watanzania wenzao wenye sifa…
Continue Reading....