Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Boko Haram

Tag: Boko Haram

Boko Haramu Wasababisha Uchaguzi Kuahirishwa

Posted on: February 8, 2015 - jomushi
Post Tags: Boko Haram, nigeria, Uchaguzi
Boko Haramu Wasababisha Uchaguzi Kuahirishwa

MKUU wa Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria, Attahiru Jega, amesema upigaji kura hauwezi kufanyika nchini humo Jumamosi ijayo kwa sababu wanajeshi wanaotakiwa kulinda vituo vya…

Continue Reading....

Boko Haram Wateka Kambi ya Jeshi Nigeria, Shahidi wa ICC Afariki

Posted on: January 4, 2015 - jomushi
Post Tags: Boko Haram, ICC Afariki, Jeshi Nigeria
Boko Haram Wateka Kambi ya Jeshi Nigeria, Shahidi wa ICC Afariki

MAOFISA nchini Nigeria wamesema kuwa kundi la Boko Haram limeuteka Mji na kambi moja ya kijeshi inayotumiwa na wanajeshi wa kimataifa wanaojaribu kukabiliana na wapiganaji…

Continue Reading....

Islamic State Wamuua Kinyama Mmarekani, Boko Haram Watimuliwa Chibok

Posted on: November 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Boko Haram, Islamic State, Marekani
Islamic State Wamuua Kinyama Mmarekani, Boko Haram Watimuliwa Chibok

KANDA moja ya video iliowekwa mtandaoni inaonesha mauaji ya kinyama mfanyakazi wa huduma za misaada raia wa Marekani, Abdul Rahman Kassig ambaye anajulikana kama Peter…

Continue Reading....

Boko Haram Wateka Vijiji Wauwa, Nigeria Hakuna Ebola…!

Posted on: October 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Boko Haram, Ebola, nigeria, Wauwa
Boko Haram Wateka Vijiji Wauwa, Nigeria Hakuna Ebola…!

WATU wanaohisiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wamewapiga risasi na kuwachinja watu katika vijiji vitatu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria licha ya serikali kudai mwishoni mwa…

Continue Reading....

Boko Haram Kuwaachia Wasichana Iliowateka

Posted on: October 17, 2014 - jomushi
Post Tags: Boko Haram
Boko Haram Kuwaachia Wasichana Iliowateka

SERIKALI ya Nigeria imesema kuwa imefikia makubaliano na kundi la wapiganaji wa Boko Haram kuhusu kuachiwa kwa wasichana waliotekwa nyara wa kutoka Chibok. Mkuu wa…

Continue Reading....

Boko Haram Kuwauza Wasichana Iliyowateka, Polisi Watumia Fedha Kuwasaka

Posted on: May 8, 2014 - jomushi
Post Tags: Boko Haram
Boko Haram Kuwauza Wasichana Iliyowateka, Polisi Watumia Fedha Kuwasaka

KUNDI la Boko Haram limekiri kuwateka nyara wasichana wa shule moja nchini Nigeria na limesema kuwa linajiandaa kuwauza. Polisi nchini Nigeria wameahidi kumtunuku dola laki…

Continue Reading....
thehabari