Mkuu wa shule na makamu wake wapokezana kufundisha shule nzima

Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Mchuchuma Wilaya ya Ludewa mkoani Iringa, Bw. Joseph Thomas Lugome (58) akionesha darasa la saba ambalo limekuwa likisomewa pia na wanafunzi wa darasa la sita kwa kupokezana kutokana na shule hiyo yenye wanafunzi zaidi ya 200 kuwa na walimu wawili pekee (Picha na Francis Godwin) Na Francis Godwin (TGNP), Ludewa SHULE ya Msingi …

Wanakijiji Tanangozi waneemeka na mradi wa MUVI

Mmoja wa wakulima wa nyanya Kijiji cha Tanangozi, Iringa. Na William Macha, Tanangozi, Iringa WAKULIMA wa nyanya kutoka Kijiji cha Tanangozi, Wilaya ya Iringa Vijini, wameusifu mradi wa nyanya uliofadhiliwa na Asasi ya Muungano wa Wajasiriamali Vijijini (MUVI), kuwa umeanza kuwaletea mafanikio dhidi yao. Kauli hiyo imetolewa jana kijijini hapa na mmoja wa wakulima wa zao hilo, Bw. Mtokambali Ngimba …

SARA DUMBA ASIFU JUKWAA LA ALIZETI

SARA DUMBA Na William Macha-Iringa MKUU wa Wilaya ya Njombe, Sara Dumba amelimwagia sifa Jukwaa la Alizeti lililozinduliwa mkoani Iringa, kupitia mradi wa Muunganisho Ujasiriamali Vijijini (MUVI) lilowakutanisha wadau anuai wa masuala ya kilimo na tafiti. Akizungumzia jukwaa hilo, Dumba amesema wakulima wa alizeti mkoani Iringa kwa kipindi kirefu wamekuwa wakizalisha mazao kwa uzoefu, lakini sasa wanapaswa kutumia nyenzo za …

Rea kutumia bil 100 kupeleka umeme vijijini

Baadhi ya wananchi wakipata maelezo kwenye banda la wakala wa usambazaji wa umeme vijijini (REA) kwenye maonesho ya Nishati na Madini Mnazi Mmoja. Ismail Ngayonga na Salama Juma-Maelezo WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) imepanga kutumia kiasi cha sh bilioni 100 kwa ajili ya mradi wa usambazaji umeme katika mikoa 16 nchini. Hayo yamebainishwa leo (jana) na Mkurugenzi wa huduma za …

Wanawake wawili wachinjwa Magu

IGP, Said Mwema Na Mwandishi Wetu, Magu WANAWAKE wawili wameuawa kikataili kwa kuchunjwa katika matukio mawili tofauti wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Kwa kile kinachodaiwa ni imani za kishirikina. Jeshi la Polisi wilayani Magu, limethibitisha katika taarifa zake kutokea kwa matukio yote mawili, na kueleza yametokea katika vijiji vya Mwakiloba na Lutubiga, Kata ya Lutubiga wilayani humo, usiku wa kuamkia …