Category: Habari za Nyumbani
Anna Abdallah: Ubunge rushwa tupu
Mwenyekiti wa Ulingo wa Wanawake nchini, Anna Abdallah, amesema hakuna mgombea ubunge asiyetoa rushwa katika chaguzi, hali ambayo inayosababishwa na mfumo wa uchaguzi uliopo. Akizungumza…
Continue Reading....Uchaguzi wa wabunge Afrika Mashariki hatihati
Wakati Bunge likitarajia kufanya uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kesho, Kambi rasmi ya Upinzani bungeni, imetishia kwenda Mahakama ya Afrika Mashariki kama…
Continue Reading....Makongoro Nyerere aeleza atakavyo muenzi Nyerere ubunge EAC
MTOTO wa Rais wa kwanza wa taifa la Tanzania anagombea nafasi ya ubunge katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutimiza adhma ya Baba…
Continue Reading....JK awasili nchini Brazil kikazi
Na Mwandishi Maalumu, Brazil RAIS Jakaya Kikwete amewasili Brazil Jumapili Aprili 15, 2012 kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tano. Katika ziara hiyo…
Continue Reading....Vodacom Tanzania yapunguza gharama za M-Pesa kwa 20%
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imepunguza gharama zake za kutoa fedha kwa kupitia huduma yake ya M-Pesa hadi asilimia 20 ambapo…
Continue Reading....