Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 990

Category: Habari za Nyumbani

‘Tutaendelea kulinda uhuru wa kuabudu dini zote Zanzibar’

Posted on: April 16, 2012 - jomushi
‘Tutaendelea kulinda uhuru wa kuabudu dini zote Zanzibar’

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imesema itaendelea kulinda uhuru wa dini zote ikiwa ni pamoja na kutokubali kuvumilia vitendo vyovyote vya…

Continue Reading....

Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA

Posted on: April 16, 2012April 16, 2012 - jomushi
Mama yake Kanumba atoa wosia kwa SHIWATA

Na Peter Mwenda MAMA Mzazi wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba amewataka wasanii wanachama wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) kuendeleza ushirikiano…

Continue Reading....

Benki ya Dunia yakiri EAC kurahisisha biashara

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Benki ya Dunia yakiri EAC kurahisisha biashara

Na James Gashumba, EANA-Arusha NCHI wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeboresha mazingira ya biashara kwa wajasilia mali katika mataifa yao kwa kutekeleza mabadiliko…

Continue Reading....

Rais Kikwete aelekea Brazil kikazi

Posted on: April 15, 2012 - jomushi
Rais Kikwete aelekea Brazil kikazi

Na Mwandishi Maalumu RAIS Jakaya Kikwete ameondoka jana Aprili 14, 2012, jioni kuelekea Brazil kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tano nchini humo.…

Continue Reading....

MCT- Msanii Lulu ahukumiwa na vyombo vya habari

Posted on: April 15, 2012 - Rungwe Jr.
MCT- Msanii Lulu ahukumiwa na vyombo vya habari

Kamati ya maadili ya Baraza la Habari Tanzania (MCT), imeeleza kusikitishwa kwake na ukiukwaji wa maadili uliojitokeza wakati wa kuripoti kesi ya mshtakiwa Elizabeth Michael…

Continue Reading....

Kupanda kwa bei tatizo kwa Wananchi-Dk Shein

Posted on: April 15, 2012April 15, 2012 - jomushi
Kupanda kwa bei tatizo kwa Wananchi-Dk Shein

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar TATIZO kubwa linalosababisha wananchi kushindwa kupata mahitaji yao ya kila siku ni kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari