Na mwandishi wetu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa wananchi wa Zanzibar hasa wakulima wa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Vodacom yajivunia Tuzo ya Uwekezaji Endelevu katika Jamii Afrika Mashariki
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Alfonso Lenhardt akisoma tuzo ya Uwekezaji Bora Endelevu katika Jamii kwa Makampuni ya Afrika Mashariki iliyotunukiwa kampuni ya Vodacom Tanzania…
Continue Reading....TANZANIA yajivunia hatua iliyopiga katika OPG
Serikali ya Tanzania imepiga hatua kubwa katika kutekeleza mpango wa ubia wa uwazi serikalini (Open Government Partnership-OPG) kama ilivyoahidi katika kikao kilichopita Disemba 2011. Rais…
Continue Reading....MABADILIKO YA TABIA NCHI YAWATISHIA WAKAZI WA KILIMANJARO
Na Mwandishi wetu. WAKULIMA mkoani Kilimanjaro wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuzuia usafirishaji mazao ya nafaka kwenda nje ya nchi ikiwa ni pamoja na kuongeza…
Continue Reading....Ziara ya Rais wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na changamoto za kilimo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kushoto) akifuatana na Katibu wa Wizara ya Kilimo na Maliasili Afani Othman…
Continue Reading....Utamu, uchungu wa kimombo ubunge A. Mashariki
Lugha ya Kiingereza ambayo ni rasmi kwa shughuli za Bunge la Afrika Mashariki jana ilikuwa kikwazo kwa baadhi ya wagombea waliokuwa wanaomba nafasi za kuiwakilisha…
Continue Reading....