Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Maliasili Afani Othman Maalim,alipokagua…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Wanachama wa GEPF kulipa michango Kupitia Airtel money
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na mfuko wa mafao ya uzeeni kwa watumishi wa serikalini, (GEPF) imezindua huduma itayowawezesha wanachama wa…
Continue Reading....Mama salma Kikwete awatembelea wagonjwa wa kansa-Brasilia
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa amembeba mtoto Anna Julia Telles mwenye umri wa miezi mitatu anayepata matibabu ya kansa katika Hospitali ya watoto…
Continue Reading....Zitto azilipua bungeni Tanesco, ATCL
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imependekeza kwa serikali iwakamate na kuwafikisha mahakamani maofisa wa serikali walioingia mkataba wa ukodishaji wa…
Continue Reading....Mbunge anusurika ajalini
Mbunge wa Temeke (CCM), Abbas Mtevu, na watu wawili akiwemo dereva wake wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika kijiji cha Tabu Hotel…
Continue Reading....Hatma ubunge Lissu Aprili 27
Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma itatoa hukumu ya kesi ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), Aprili 27, mwaka huu 2012 baada ya kukamilika…
Continue Reading....