Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 985

Category: Habari za Nyumbani

Ridhiwani amshukia Millya

Posted on: April 22, 2012 - Rungwe Jr.
Ridhiwani amshukia Millya

Mtoto wa Rais, Dk. Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amemshukia aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Arusha, James Ole…

Continue Reading....

Rais wa SMZ afunga msimu wa uchumaji wa Karafuu

Posted on: April 21, 2012April 21, 2012 - jomushi
Rais wa SMZ afunga msimu wa uchumaji wa Karafuu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amefunga rasmi msimu wa uchumaji wa karafuu mwaka 2011/2012 na kusisitiza kuwa uchumaji unamalizika lakini vita…

Continue Reading....

Mradi wa tangi la maji wakamilika-Ziwani Pemba

Posted on: April 21, 2012 - jomushi
Mradi wa tangi la maji wakamilika-Ziwani Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa Tangi la Maji la Ziwani Wilaya ya Chake chake Pemba,…

Continue Reading....

Dk Shein azungumza na kikosi kazi kilichoshughulikia zao la karafuu

Posted on: April 21, 2012April 21, 2012 - jomushi
Dk Shein azungumza na kikosi kazi kilichoshughulikia zao la karafuu

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi wa Vikosi vya Ulinzi ambao ni Wajumbe wa Kikosi cha…

Continue Reading....

JAJI CHANDE AHIMIZA MABADILIKO KATIKA MAHAKAMA ZA AFRIKA MASHARIKI

Posted on: April 20, 2012April 20, 2012 - jomushi
JAJI CHANDE AHIMIZA MABADILIKO KATIKA MAHAKAMA ZA AFRIKA MASHARIKI

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande amezitaka mahakama katika nchi wanachama wa Afrika Mashariki kufanya mabadiliko makubwa katika mfumo wake wa utendaji ili kuleta ufanisi…

Continue Reading....

Mh. Rais wa Zanziba na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amaliza ziara Pemba

Posted on: April 20, 2012 - jomushi
Mh. Rais wa Zanziba na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amaliza ziara Pemba

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa madarasa mapya ya kusomea katika skulimya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari