Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 675

Category: Habari za Nyumbani

Mama Salma Kikwete Awataka Wazazi Kutobagua Watoto

Posted on: May 11, 2013 - jomushi
Mama Salma Kikwete Awataka Wazazi Kutobagua Watoto

Na Anna Nkinda – Maelezo WAZAZI nchini wametakiwa kuwafundisha watoto wao kazi zote za nyumbani bila ya kuwabagua kwamba hawa ni watoto wa kike na hawa…

Continue Reading....

Wananchi Kusafiri Mtwara Hadi Bukoba kwa Lami, Huduma Bora kwa Wafungwa

Posted on: May 11, 2013 - jomushi
Wananchi Kusafiri Mtwara Hadi Bukoba kwa Lami, Huduma Bora kwa Wafungwa

Na Immaculate Makilika- Dodoma WANANCHI kusafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwa barabara ya lami. Hayo yamesemwa bungeni mjini Dodoma wakati Waziri wa Ujenzi John Magufuli alipokuwa akijibu swali la…

Continue Reading....

Dk Shein Asema Serikali Itapambana na Wavuruga Amani

Posted on: May 10, 2013 - jomushi
Dk Shein Asema Serikali Itapambana na Wavuruga Amani

Na Rajab Mkasaba, Pemba MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, amesema Serikali haitomvumilia mtu/kundi lolote,…

Continue Reading....

Kipaji cha Mpira wa Miguu Chawabeba Ghana, Waingia Nusu Fainali

Posted on: May 9, 2013 - jomushi
Kipaji cha Mpira wa Miguu Chawabeba Ghana, Waingia Nusu Fainali

KUPITIA televisheni za ITV na Clouds TV jana usiku katika kipindi cha 8 cha Guinness Football Challenge (robo fainali ya 3) Ghana waliweza kuibuka vinara…

Continue Reading....

Ahadi ya Magu Kupata Maji Safi Lafanikiwa

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
Ahadi ya Magu Kupata Maji Safi Lafanikiwa

Na Immaculate Makilika- Dodoma SERIKALI imemwajiri Mtaalamu Mshauri wa kusanifu miundombinu ya maji katika mji wa Magu,hatua hiyo ni utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya…

Continue Reading....

Halmashauri Zashauriwa Kubuni Vyanzo vya Mapato

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
Halmashauri Zashauriwa Kubuni Vyanzo vya Mapato

Na Immaculate Makilika- Dodoma SERIKALI inatambua kazi kubwa zinazofanywa na wenyeviti wa vijiji na vitongoji katika kuhimiza na kusimamia shughuli za maendeleo kwenye maeneo yao.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari