Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 676

Category: Habari za Nyumbani

TSh bilioni 4.46 Kukamilisha Mradi wa Umeme Kigoma.

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
TSh bilioni 4.46 Kukamilisha Mradi wa Umeme Kigoma.

Na Immaculate Makilika- Dodoma SERIKALI imedhamiria kutafuta fedha kutoka kwenye vyanzo vyake vya ndani na nje ya nchi ikiwemo washirika mbalimabli wa maendeleo ili kutekeleza…

Continue Reading....

Waziri Pinda Azicharukia Serikali za Mitaa

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
Waziri Pinda Azicharukia Serikali za Mitaa

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amecharuka na kuwakemea watendaji kwenye Serikali za Mitaa ambao wanatumia nafasi zao kulazimisha kufanya biashara na Halmashauri wanazoziongoza. Ametoa kauli hiyo…

Continue Reading....

UN Kupitia UBRAF Yaendesha Semina kwa Watangazaji wa Radio

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
UN Kupitia UBRAF Yaendesha Semina kwa Watangazaji wa Radio

Picha juu ni Mshauri wa Radio Jamii na Mkufunzi wa UNESCO Dar es Salaam Bi. Rose Mwalimu akiendesha majadiliano kuhusu mikakati endelevu itakayowezesha kuihusisha jamii…

Continue Reading....

JK. Awataka Wanajeshi Kuilinda Heshima ya Tanzania

Posted on: May 8, 2013 - jomushi
JK. Awataka Wanajeshi Kuilinda Heshima ya Tanzania

Linda heshima ya Tanzania, Rais awaambia wanajeshi wanaokwenda DRC Wanajeshi wa Tanzania wanaokwenda kulinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wametakiwa kudumisha utamaduni…

Continue Reading....

Wagonjwa Wapya 3,411 wa Saratani Wahudumiwa Ocean Road

Posted on: May 8, 2013 - jomushi
Wagonjwa Wapya 3,411 wa Saratani Wahudumiwa  Ocean Road

NA MAGRETH KINABO- MAELEZO DODOMA   8/5/2013   WAZIRI wa   Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa   jumla ya wagonjwa wapya wa…

Continue Reading....

Utafiti wa Chanjo ya Ukimwi Yaendelea Mbeya

Posted on: May 8, 2013May 8, 2013 - jomushi
Utafiti wa Chanjo ya Ukimwi Yaendelea Mbeya

NA MAGRETH KINABO- MAELEZO, DODOMA 8/5/2013 WAZIRI wa   Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa  utafiti  wa chanjo ya ugonjwa wa Ukimwi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari