Na Anna Nkinda – Maelezo WANAWAKE nchini wametakiwa kuishi maisha ya upendo, umoja na mshikamano bila ya kuangalia itikadi zao za dini na vyama vya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Si Kila Mabadiliko Yana Umuhimu Katika Maisha ya Mwanadamu – Nape Nnauye
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye amesema japokuwa mabadiliko ni muhimu kwa maisha ya binadamu lakini lazima kila yanapohitajika yafanywe kwa…
Continue Reading....Rais Kikwete Amteuwa Jaji Mutungi Kushika Nafasi ya John Tendwa
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Jaji Francis S. K. Mutungi kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa. Taarifa iliyotolewa Dar…
Continue Reading....Waziri Aipongeza APRM kwa Kusambaza Nakala za Katiba
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Gregory Teu ameupongeza Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) kwa kugawa nakala za rasimu ya Katiba ya Jamhuri…
Continue Reading....Ni Ukatili wa Kutisha, Mume Amnyonga Mkewe Hadi Kufa
MWANAMUME mmoja amemnyonga hadi kufa mke wake na yeye akauawa na wananchi wenye hasira, katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Tukio hilo lililothibitishwa na polisi…
Continue Reading....Naombeni Msaada, Kansa Inammaliza Mwanangu – Mustapha Makombe
Mtoto Ashura Mustapha (7) mkazi wa Mwandege, wilayani Mkuranga, Pwani anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya ngozi tangu akiwa na mwaka mmoja. Akizungumza na mwandishi…
Continue Reading....