Na Mwandishi Wetu, Handeni MKUU wa wilaya Handeni, DC Muhingo Rweyemamu, amewataka wananchi wa Handeni, mkoani Tanga kulitumia Tamasha la Handeni kwa ajili ya kutafuta…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Rais Kikwete Aenda Afrika Kusini kwa Vikao Muhimu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini mchana wa leo, Novemba 4, 2013, kwenda Afrika Kusini kwa ziara ya kikazi…
Continue Reading....JK Aomboleza Kifo cha Jaji Mstaafu Hillary Mkate
Rais Jakkaya Kikwete akimfariji Mwenyekitio wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva baada ya kuaga mwili wa marehemu Jaji Mstaafu Hilary Mkate leo Oktoba…
Continue Reading....Balozi Mteule wa Vietnam Akabidhi Hati Ikulu
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Balozi Mteule wa Vietnam hapa nchini, Vo Thanh Nam huko Ikulu hapa Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri…
Continue Reading....Serikali Yaandaa Mafunzo ya Majadilino kwa Maofisa
Na Magreth Kinabo – Maelezo SERIKALI imeandaa mafunzo ya majadiliano ya mikataba kwa wataalamu mbalimbali ili kuwapa mbinu za kuendesha mikataba ya kibiashara inayohusu rasilimali za nchi kwa manufaa ya Watanzania. Kauli hiyo imetolewa leo na…
Continue Reading....Dk. Bilal Ataka Korosho Kuchakatua kwa 100% Nchini
Waziri wa Kilimo, Eng. Christopher Chiza, akizungumza kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais kufungua kongamano hilo. Makamu wa Rais Dk. Bilal, akiwa katika picha ya…
Continue Reading....