Na Magreth Kinabo SERIKALI imesema imeshaelekeza wasambazaji wa vifaa vya eletroniki vya kutoa risiti (EFD) kuuzwa kwa bei tofauti kulingana na ubora wa vifaa hivyo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Profesa Kapuya Afafanua Juu ya Tuhuma za Kudaiwa ‘Kumbaka’ Mwanafunzi
MWANASIASA maarufu na Mbunge wa Jimbo la Urambo Magharibi kupitia CCM, Profesa Juma A. Kapuya ametoa kauli yake kupinga tuhuma zinazoenezwa dhidi yake na mmoja…
Continue Reading....Samsung Yatoa Zawadi kwa Washindi 15 wa ‘Pambika na Samsung’
Meneja Masoko Rejareja wa Samsung Tanzania Bw. Sylvester Manyara (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mwenendo mzima wa promosheni ya Pambika na…
Continue Reading....Hatari: Watu Wauza Damu Zao Mitaani
WAKATI Serikali ikisisitiza kuwa huduma ya kumwongezea mgonjwa damu hospitalini ni bure, imebainika kwamba baadhi ya watu mitaani wakiwamo wabeba mizigo sokoni wanauza damu zao…
Continue Reading....Bunge Lakataa Kubariki ‘Division 5’
KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii, imevikataa viwango vipya vya alama za ufaulu kwa elimu ya sekondari vilivyotarajiwa kuanza kutumika mwaka huu na kutaka…
Continue Reading....Mafunzo Kuhusu Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kwa Wanawake Chalinze
Mratibu Msaidizi wa Mradi wa Ukimwi ILO Getrude Sima (kushoto) akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi Kaimu Afisa Tarafa ya Chalinze kata ya Pera Bw.…
Continue Reading....