Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 531

Category: Habari za Nyumbani

Sherehe za Miaka 50 Mapinduzi Zanzibar Zafana , Dk Shein Atangaza Mapumziko Kesho

Posted on: January 12, 2014 - jomushi
Sherehe za Miaka 50 Mapinduzi Zanzibar Zafana , Dk Shein Atangaza Mapumziko Kesho

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SHEREHE za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo mjini Unguja katika Uwanja wa Aman huku zikishirikisha viongozi…

Continue Reading....

Idadi ya Tembo Mikumi na Ruaha Yaendelea Kupukutika

Posted on: January 10, 2014 - jomushi
Idadi ya Tembo Mikumi na Ruaha Yaendelea Kupukutika

Na Mwandishi Wetu MATOKEO ya sensa ya tembo iliyofanyika katika Maeneo ya Mfumo wa ikolojia wa Selous – Mikumi na Ruaha – Rungwa iliyoandaliwa na…

Continue Reading....

Askari Polisi, Magereza Wafikishwa Mahakamani kwa Ujambazi

Posted on: January 10, 2014 - jomushi
Askari Polisi, Magereza Wafikishwa Mahakamani kwa Ujambazi

ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi na Magereza pamoja na raia watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mbeya wakituhumiwa kwa ujambazi wa kutumia silaha.…

Continue Reading....

IGP Mpya Atangaza Mabadiliko Makubwa Jeshi la Polisi

Posted on: January 10, 2014 - jomushi
IGP Mpya Atangaza Mabadiliko Makubwa Jeshi la Polisi

MKUU Mpya wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali, Ernest Mangu ameanza kazi kwa kutangaza mabadiliko ya mfumo wa jeshi hilo huku akiunda vitengo vipya kwa…

Continue Reading....

Magonjwa ya Mlipuko Yanukia Dar,

Posted on: January 9, 2014 - jomushi
Magonjwa ya Mlipuko Yanukia Dar,

MIUNDOMBINU mibovu katika Dampo kuu la Jiji la Dar es Salaam, Pugu Kinyamwezi imesababisha magari makubwa ya kuzoa na kumwaga taka kukwama kwa muda wa…

Continue Reading....

Mapya Yaibuka Ndoa Iliyovunjwa na Mahakama Nkasi, Yadaiwa Mume ‘Alimbaka’ Mwanafunzi…!

Posted on: January 9, 2014 - jomushi
Mapya Yaibuka Ndoa Iliyovunjwa na Mahakama Nkasi, Yadaiwa Mume ‘Alimbaka’ Mwanafunzi…!

Na Joachim Mushi, Nkasi-Rukwa SAKATA la ndoa iliyovunjwa na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Mkoa wa Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya uchunguzi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari