WIZARA ya Maliasili na Utalii, imewasimamisha kazi watumishi wake 21 kwa tuhuma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusaidia ujangili wa nyara za Serikali. Hatua hiyo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Mahakama Nkasi Yalalamikiwa Kuvunja Ndoa Yenye Mgogoro Bila Kugawanya mali
Na Joachim Mushi, Nkasi MAHAKAMA ya Mwanzo Namanyere wilayani Nkasi imelalamikiwa kwa kitendo cha kuvunja ndoa iliyokuwa na mgogoro kwa wanandoa bila kugawanya mali iliyochumwa…
Continue Reading....Zitto Ashinda Mahakamani, Kiongozi Chadema Atekwa, Ateshwa..!
ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe ameshinda maombi yake dhidi ya chama hicho mahakamani. Katika maombi hayo namba 1 ya mwaka 2014, Zitto…
Continue Reading....IMF Yatahadharisha EAC Kutoharakisha Umoja wa Fedha
Na Mwandishi wa EANA, Arusha MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Christine Lagarde ameitahadharisha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kutofanya haraka katika…
Continue Reading....Nahodha wa Kilimanjaro II Ahojiwa Polisi Zanzibar Ajali ya Meli
WAKATI watu saba wakiwa bado hawajaonekana baada ya boti ya Kilimanjaro II, kupata ajali na abiria kuzama baharini, nahodha wa chombo hicho alitoa taarifa za…
Continue Reading....