Na Nathaniel Limu, Singida WARATIBU wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) mkoani Singida, wamehimizwa kuwa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Mbunge CCM Ataja Siri Mpya ya Wauzaji Dawa za Kulevya
Na Emmanuel Shilatu MBUNGE wa Kigamboni, Faustine Ndungulile ameanika siri na aina mpya ya wauzaji wa dawa za kulevya wanayoitumia katika kupanua wigo wa watumiaji…
Continue Reading....TRA Yapigilia Msumari Mgomo wa Wafanyabiashara Juu ya EFDs
Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema matumizi ya mashine maalumu za kukokotoa kodi (EFDs) ni ya lazima na yapo kwa mujibu wa…
Continue Reading....Mvua za Usiku wa Manane Zilivyofunga Mitaa Tabata Dar
MVUA kubwa ilionyesha usiku wa kuamkia leo zilifunga baadhi ya mitaa kwa kujaa maji jambo ambalo lilileta hofu kwa wananchi na baadhi kuamka na…
Continue Reading....JK Awataka WanaCCM Kukabiliana na Fujo za Chadema
Na Bashir Nkoromo MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewapa rungu wana-CCM akiwataka kuacha kujifanya wanyonge dhidi ya vitendo vya fujo ambavyo…
Continue Reading....