Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 515

Category: Habari za Nyumbani

Zuio la Unywaji Pombe Rombo Lagonga Ukuta

Posted on: February 15, 2014 - jomushi
Zuio la Unywaji Pombe Rombo Lagonga Ukuta

Yohane Gervas, Rombo LICHA ya juhudi mbalimbali zinazoendelea kufanywa na Serikali katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro za kuzuia ulevi muda wa kazi pamoja na…

Continue Reading....

TAMWA Yawapongeza Wanahabari Uandishi Habari za Ukatili wa Kijinsia

Posted on: February 15, 2014 - jomushi
TAMWA Yawapongeza Wanahabari Uandishi Habari za Ukatili wa Kijinsia

MKURUGENZI Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA), Valerie Nsoka amevipongeza vyombo vya habari kwa kutoa ushirikiano wa uandishi wa habari za ukatili wa kijinsia…

Continue Reading....

Dk. Nchimbi Azinduwa Machapisho ya MCT Siku ya Redio Duniani

Posted on: February 14, 2014 - jomushi
Dk. Nchimbi Azinduwa Machapisho ya MCT Siku ya Redio Duniani

Mshehereshaji Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa…

Continue Reading....

Uingereza Yamwalika Rais Kikwete Kuwatembelea

Posted on: February 14, 2014 - jomushi
Uingereza Yamwalika Rais Kikwete Kuwatembelea

UINGEREZA imemwalika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa ziara rasmi kutembelea nchi hiyo kwenye sehemu ya kwanza ya mwaka…

Continue Reading....

UNDP: Anzisheni Awamu ya Pili ya Operesheni Tokomeza, JK Alia na Masoko ya Pembe za Tembo

Posted on: February 14, 2014 - jomushi
UNDP: Anzisheni Awamu ya Pili ya Operesheni Tokomeza, JK Alia na Masoko ya Pembe za Tembo

Na Mwandishi Maalumu SHIRIKA la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limeitaka Tanzania kuanzisha haraka awamu ya pili ya Operesheni Tokomeza yenye lengo la kukabiliana…

Continue Reading....

We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support!

Posted on: February 14, 2014February 14, 2014 - Rungwe Jr.
We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support!

Petitioning TANZANIAN DIASPORA We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support. TANZANIAN DIASPORA 34…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari