Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,145

Category: Habari za Nyumbani

Chama cha kiislamu chajitangazia ushindi Tunisia

Posted on: October 25, 2011October 25, 2011 - jomushi
Chama cha kiislamu chajitangazia ushindi Tunisia

CHAMA cha kiislamu chenye msimamo wa wastani nchini Tunisia, Ennahda, kimejitangazia ushindi katika uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia nchini humo. Matokeo rasmi yanatarajiwa baadaye siku…

Continue Reading....

Kenya yalipuliwa tena, mmoja auawa 11 wajeruhiwa

Posted on: October 25, 2011October 25, 2011 - jomushi
Kenya yalipuliwa tena, mmoja auawa 11 wajeruhiwa

TAARIFA kutoka Kenya zinasema kumetokea mlipuko mwingine katika Mji Mkuu wa nchi hiyo, Nairobi. Polisi wanasema mtu mmoja ameuawa na wengine kumi na wawili wamejeruhiwa.…

Continue Reading....

Mnyika kuwasilisha muswada wa kudhibiti bei ya bidhaa muhimu

Posted on: October 25, 2011October 25, 2011 - Rungwe Jr.
Mnyika kuwasilisha muswada wa kudhibiti bei ya bidhaa muhimu

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika (Chadema), amesema kuwa atapeleka muswada binafsi wa Sheria ya Udhibiti wa Bei ya bidhaa nchini…

Continue Reading....

Maalim Seif: Watendaji Zanzibar chanzo cha uchafuzi wa mazingira

Posted on: October 25, 2011 - Rungwe Jr.
Maalim Seif: Watendaji Zanzibar chanzo cha uchafuzi wa mazingira

Na Mwinyi Sadallah Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema tabia ya watendaji kufungia sheria na kanuni za uhifadhi wa mazingira…

Continue Reading....

Jaji akwamisha kesi ya Lema kusikilizwa

Posted on: October 24, 2011 - jomushi
Jaji akwamisha kesi ya Lema kusikilizwa

Na Mwandishi Wetu, Arusha KESI ya kupinga matokeo ya Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema (CHADEMA) leo imekwama kusikilizwa tena baada ya Jaji…

Continue Reading....

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Shein aapishwa

Posted on: October 24, 2011 - jomushi
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Shein aapishwa

RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, ameapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania kwa ajili ya kushiriki vikao vya baraza la Mawaziri wa Jamhuri ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari