Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,144

Category: Habari za Nyumbani

Kanali Gaddafi mwanae wazikwa kisiri Libya

Posted on: October 25, 2011 - jomushi
Kanali Gaddafi mwanae wazikwa kisiri Libya

MAZISHI ya Kanali Muammar Gaddafi, mwanae Mutassim na Waziri wa Ulinzi yamefanyika katika sehemu ya siri leo alfajiri. Taarifa zilizotolewa na mmoja wa wasemaji wa…

Continue Reading....

Uhuru One kutoa laptop kwa wanafunzi Tanzania

Posted on: October 25, 2011October 25, 2011 - jomushi
Uhuru One kutoa laptop kwa wanafunzi Tanzania

Na Mwandishi Maalumu, Geneva, Switzerland KAMPUNI ya Uhuru One inaangalia uwezekano wa kutoa mafunzo ya matumizi rahisi ya kompyuta ndogo (laptop) mpango ambao utakwenda sambamba…

Continue Reading....

Finland kuendeleza mradi wa mazingira Zanzibar

Posted on: October 25, 2011 - jomushi
Finland kuendeleza mradi wa mazingira Zanzibar

Na Rajab Mkasaba, Ikulu- Zanzibar FINLAND imesema itaendelea kushirikiana na Zanzibar katika kuimarisha sekta mbalimbali za maendeleo ikiwa ni pamoja na kuuendeleza mradi wa kutunza…

Continue Reading....

Dk. Bilal aiwakilisha Tanzania Mkutano wa Mawasiliano Kimataifa

Posted on: October 25, 2011 - jomushi
Dk. Bilal aiwakilisha Tanzania Mkutano wa Mawasiliano Kimataifa

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal ameiwakilisha Tanzania katika mkutano wa ITU (International Telecommunication Union) unaohusu wajibu nchi…

Continue Reading....

Dk. Magufuli awakoromea Makandarasi

Posted on: October 25, 2011 - jomushi
Dk. Magufuli awakoromea Makandarasi

*Aanza utekelezaji ahadi ya ujenzi wa daraja Igunga Na Martin Ntemo, Habari- Wizara ya Ujenzi WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli (Mb), ametoa onyo…

Continue Reading....

Gaddafi kuzikwa leo jangwani kwa siri

Posted on: October 25, 2011October 25, 2011 - jomushi
Gaddafi kuzikwa leo jangwani kwa siri

BARAZA la Mpito la Libya limearifu kuwa Muammar Gaddafi atazikwa jangwani leo katika sehemu ya siri. Mwakilishi mmoja wa Baraza hilo ambae hakutaka kutajwa ameleeza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari