Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,143

Category: Habari za Nyumbani

Mafunzo ya Kilimo Biashara kuongeza tija kwa Wajasiriamali Tanga

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Mafunzo ya Kilimo Biashara kuongeza tija kwa Wajasiriamali Tanga

Na Ngusekela David MRADI wa Muungano wa Wajasiriamali Vijijini (MUVI) unaendesha mafunzo ya kilimo kama biashara wilayani Muheza yanayotolewa na wakufunzi ambao ni maofisa ugani…

Continue Reading....

Rais Kikwete: Uwekezaji Afrika uwanufaishe Waafrika

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Rais Kikwete: Uwekezaji Afrika uwanufaishe Waafrika

Na Mwandishi Maalumu, Perth, Australia RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema changamoto kubwa ya sasa ya uwekezaji katika Afrika ni kwamba…

Continue Reading....

Wakuu wa nchi CHOGM waombwa kuwasaidia wasichana wanaoozeshwa kwa nguvu

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Wakuu wa nchi CHOGM waombwa kuwasaidia wasichana wanaoozeshwa kwa nguvu

Na Anna Nkinda – Perth, Australia WAKUU wa nchi Wanachama wa Jumuia ya Madola wameombwa kuchukua hatua na kuwasaidia mamilioni ya wasichana wanaoozwa kilazima huku…

Continue Reading....

Shigela alaani ukatili wa tindikali Igunga

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Shigela alaani ukatili wa tindikali Igunga

*UVCCM kumpa mtaji wa biashara aliyemwagiwa tindikali Igunga Na Janeth Mushi, Moshi KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Martine…

Continue Reading....

Polisi wanasa maguruneti na bunduki-Kenya

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Polisi wanasa maguruneti na bunduki-Kenya

MTU MMOJA amekamatwa na polisi na silaha mbali mbali katika mtaa mmoja mjini Nairobi,Kenya. Katika nyumba hiyo polisi walinasa maguruneti 13 na bunduki kadhaa pamoja…

Continue Reading....

Jaji Mkuu Tanzania awania nafasi ya Ocampo

Posted on: October 26, 2011October 26, 2011 - jomushi
Jaji Mkuu Tanzania awania nafasi ya Ocampo

JAJI MKUU wa Tanzania Mohamed Chande Othman kuwania nafasi ya Ocampo ICC Jaji mkuu wa Tanzania Mohamed Chande Othman ni mmoja kati ya watu wanne…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari