Na Joachim Mushi MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP, Said Mwema amesema Watanzania wasiwe na hofu juu ya kuendelea kwa vitendo vya kigaidi katika…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Jenerali Mboma ateuliwa M/Kiti Bodi ya Tanesco
Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemteua Jenerali mstaafu Robert Mboma kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika…
Continue Reading....Sitta aitaka benki ya NMB kufungua matawi nchi za A. Mashariki
Na Mwandishi Wetu, Arusha WAZIRI wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ameitaka Benki ya NMB kufungua matawi yake kwenye nchi za Afrika Mashariki ili kupanua biashara…
Continue Reading....Jaji Chande atailetea heshima Tanzania- JK
TANZANIA itapata heshima kubwa iwapo Jaji Mkuu Mheshimiwa Mohammed Chande Othman atachaguliwa kuwa muongoza Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, maarufu…
Continue Reading....Kikwete atuma rambirambi ajali ya basi lililoteketea moto Pwani
Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete amemtumia Mkuu wa Mkoa wa Pwani salamu za rambirambi na masikitiko makubwa kufuatia ajali ya basi la abiria lijulikanalo…
Continue Reading....