Kampuni mbili kubwa duniani za kuunda magari, zimeamua kushirikiana kiufundi, na kutengeneza magari ambayo hayatachafua sana mazingira. Toyota na BMW walitangaza ushirikiano huo wao mpya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Mgambia atarajiwa kumrithi Ocampo ICC?
Fatou Bensouda anatarajiwa kutajwa kuwa mwendesha Mashtaka mkuu mpya wa Mahakama ya kimataifa ya ICC. Wakili huyo mwenye umri wa miaka 50 kutoka Gambia ni…
Continue Reading....Maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru
Rais Kikwete akipokea mwenge wa uhuru kutoka kwa kiongozi wa mbio hizo mwaka huu jijini Dar es Salaam jana. Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika maadhimisho…
Continue Reading....Wizara ya Fedha na Maonyesho ya Maadhimisho Miaka 50 ya Uhuru
*Katibu Mkuu Kiongozi atembelea Banda la Wizara ya Fedha leo
Continue Reading....‘Watumishi umma wala rushwa ni watumwa’
WATUMISHU wa umma wanaokumbatia rushwa wamefananishwa na watumwa wanaoabudu wenye mali. “Mtumishi wa umma mla rushwa ni mtumwa anayeabudu wenye mali na kamwe hawezi kuwa…
Continue Reading....TBS yataja sababu za kuenea bidhaa bandia
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limesema kuenea kwa bidhaa duni na bandia nchini husababishwa na hali ya kupanda kwa bei za bidhaa…
Continue Reading....