Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,108

Category: Habari za Nyumbani

Banda la Wizara ya Fedha ndania ya Maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru

Posted on: December 2, 2011December 2, 2011 - jomushi
Banda la Wizara ya Fedha ndania ya Maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru

Baadhi ya Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na taasisi zake wakiwa kwenye picha ya pamoja ndani ya banda lao la Wizara ya Fedha na Taasisi…

Continue Reading....

Dk. Bilal afungua barabara ya Nelson Mandela jijini Dar

Posted on: December 2, 2011 - jomushi
Dk. Bilal afungua barabara ya Nelson Mandela jijini Dar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal na Kaimu Balozi wa Umoja wa Ulaya, Enrico Strampeli, wakikata upete kwa…

Continue Reading....

CUF wamkabidhi JK mapendekezo yao juu ya Katiba Mpya

Posted on: December 2, 2011 - jomushi
CUF wamkabidhi JK mapendekezo yao juu ya Katiba Mpya

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete na ujumbe wa serikali yake umekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Chama…

Continue Reading....

Mr. Ebbo kuzikwa Jumatatu ‘Masai Camp’ Arusha

Posted on: December 2, 2011 - jomushi
Mr. Ebbo kuzikwa Jumatatu ‘Masai Camp’ Arusha

Na Janeth Mushi, Arusha MWIMBAJI maarufu wa miondoko ya bongo fleva kwa ‘tune’ na staili ya Kimasai, Abel Rusheraa Motika, almaarufu – Mr Ebbo aliefariki…

Continue Reading....

Bush ampongeza JK kwa huduma za afya!

Posted on: December 2, 2011December 2, 2011 - jomushi
Bush ampongeza JK kwa huduma za afya!

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete Desemba Mosi, 2011, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Marekani, George…

Continue Reading....

Wateja wa Vodacom kupata taarifa za afya na kimapenzi

Posted on: December 2, 2011 - jomushi
Wateja wa Vodacom kupata taarifa za afya na kimapenzi

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua huduma ya ‘Young Africa Live’ itakayowawezesha wateja wake kupata taarifa sahihi za afya, mahusiano na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari