Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela pamoja na wazee maarufu wa mji Kyela mkoani Mbeya, wamekutana kujadili suala la ugonjwa unaomsumbua Mbunge…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Talgwu wahairisha maandamano ya wafanyakazi
Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) Sudi Madega (katikati) akitoa tamko leo jijini Dar es Salaam la kusitishwa kwa…
Continue Reading....Shahidi asema CCM imehusika kufungua kesi
Na Mwandishi Wetu, Arusha SHAHIDI wa 13 Gabriel Maleko katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godless Lema (CHADEMA) ameieleza…
Continue Reading....Hatimaye mtoto wa marehemu Sumari ashinda tena kura za maoni CCM Arumeru Mashariki
Na Mwandishi wa dev.kisakuzi.com, Arumeru MTOTO wa aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, marehemu Jeremiah Sumari (CCM), Sioi Sumari leo ameibuka tena mshindi katika…
Continue Reading....Rais Kikwete atuma rambirambi vifo vya wanafunzi na George Mbowe
Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mageza S.…
Continue Reading....Vijijini sasa kupata huduma ya madaktari bingwa
Na Magreth Kinabo – MAELEZO SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetoa magari saba ya huduma za mkoba kwa ajili ya wananchi…
Continue Reading....