Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,028

Category: Habari za Nyumbani

Halfa ya kumuaga aliyekuwa Mratibu wa MKURABITA, Ladislaus Lema

Posted on: March 1, 2012 - jomushi
Halfa ya kumuaga aliyekuwa Mratibu wa MKURABITA, Ladislaus Lema

Continue Reading....

Matukio katika ziara ya mtandao wa dev.kisakuzi.com kuangalia huduma za msingi kwa watu wenye ulemavu na uenezwaji wa taarifa juu ya Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Walemavu wilayani Arumeru kwa ufadhili wa ICD

Posted on: March 1, 2012March 15, 2012 - jomushi
Matukio katika ziara ya mtandao wa dev.kisakuzi.com kuangalia huduma za msingi kwa watu wenye ulemavu na uenezwaji wa taarifa juu ya Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Walemavu wilayani Arumeru kwa ufadhili wa ICD

*Ziara ya mtandao wa dev.kisakuzi.com mkoani Arusha kuangalia huduma za msingi kwa watu wenye ulemavu wilayani Arumeru kwa ufadhili wa Kituo cha Habari Kuhusu Ulemavu…

Continue Reading....

Wanafunzi walemavu wapimwe kiupekee – Walimu

Posted on: March 1, 2012 - jomushi
Wanafunzi walemavu wapimwe kiupekee – Walimu

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com-Arumeru BAADHI ya walimu wa wanafunzi wenye ulemavu anuai wilayani hapa wameitaka Serikali kuacha utaratibu wa kuwataini wanafunzi wenye ulemavu katika mitihani…

Continue Reading....

JK ataka mapendekezo wajumbe Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba

Posted on: March 1, 2012 - jomushi
JK ataka mapendekezo wajumbe Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete Februari 29, 2012, ametangaza kuwa ametoa mwaliko kwa wadau mbalimbali kuwasilisha majina…

Continue Reading....

Chadema wamchagua Nassari Arumeru

Posted on: March 1, 2012 - jomushi
Chadema wamchagua Nassari Arumeru

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemchagua Joshua Nassari kupeperusha yake katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki, utakaofanyika Aprili Mosi, mwaka huu. Akitangaza…

Continue Reading....

Ushirikiano na UN unamchango mkubwa kimaendeleo-Dk Shein

Posted on: March 1, 2012 - jomushi
Ushirikiano na UN unamchango mkubwa kimaendeleo-Dk Shein

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema ushirika uliopo kati ya Umoja wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari