Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani

Category: Habari za Nyumbani

KILOLO YASHIKA NAFASI YA TATU MAONYESHO YA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI

Posted on: August 9, 2017 - jomushi
KILOLO YASHIKA NAFASI YA TATU MAONYESHO YA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI

  Mgeni rasmi katika kilele cha Maonyesho haya alikuwa waziri wa ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za Mitaa MHE. George B. Simbachawene…

Continue Reading....

MALIPO YA KODI YA ARDHI NA TOZO SASA KULIPWA KIELEKTRONIKI

Posted on: August 9, 2017 - jomushi
Post Tags: Ardhi
MALIPO YA KODI YA ARDHI NA TOZO SASA KULIPWA KIELEKTRONIKI

    Na ELIAFILE SOLLA WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza rasmi kutumia mfumo wa kielektroniki wa Government electronic Payment Gateway (GePG)…

Continue Reading....

MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BANDA LA COSTECH MAONYESHO YA NANENANE LINDI

Posted on: August 8, 2017 - jomushi
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BANDA LA COSTECH MAONYESHO YA NANENANE LINDI

Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi, Hussein Mansour (kushoto), akitoa maelezo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, alipotembelea banda la COSTECH.   Mtafiti kutoka COSTECH,…

Continue Reading....

MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO

Posted on: August 7, 2017 - jomushi
MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO

  Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Muhammed Akisikiliza kwa makini maelezo mbalimbali kuhusu Teknolojia ya Serikali ya Mtandao wakati alipotembelea…

Continue Reading....

KATIBU MKUU NYAMHANGA AAGIZA UJENZI MIZANI BARABARA YA DODOMA – BABATI

Posted on: August 7, 2017 - jomushi
KATIBU MKUU NYAMHANGA AAGIZA UJENZI  MIZANI BARABARA YA DODOMA – BABATI

    KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga, amewaagiza Mameneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mikoa…

Continue Reading....

Wizara ya Nishati Waanzisha Mfumo Rahisishi wa Taarifa

Posted on: August 7, 2017 - jomushi
Wizara ya Nishati Waanzisha Mfumo Rahisishi wa Taarifa

Na Mathias Canal, Lindi WIZARA ya Nishati na Madini imetambua kadhia iliyokuwa inawakumba wananchi kupata taarifa sahihi na za uhakika kuhusu masuala ya nishati jadidifu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
thehabari