Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 686

Author: jomushi

China Yatoa Mabilioni ya Fedha Kuwekeza Miradi Anuai Tanzania

Posted on: October 24, 2014October 24, 2014 - jomushi
Post Tags: China, Miradi Tanzania, Uwekezaji
China Yatoa Mabilioni ya Fedha Kuwekeza Miradi Anuai Tanzania

*Maendeleo ya China ni Cachu….! TANZANIA na Jamhuri ya Watu wa China Oktoba 23, 2014, zimetiliana saini Hati za Makubaliano (Memorandum of Undestanding) ambako taasisi…

Continue Reading....

Bifu la Diamond, Ali Kiba Lahamia kwa Mashabiki…!

Posted on: October 24, 2014 - jomushi
Post Tags: Ali Kiba, diamond, wasanii
Bifu la Diamond, Ali Kiba Lahamia kwa Mashabiki…!

Na Mwandishi Wetu, BIFU la wanamuziki nyota wa muziki wa bongo fleva kati ya msanii Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz na msanii Ali Kiba limeendelea…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Pinda ‘Alilia’ Wawekezaji Poland

Posted on: October 24, 2014 - jomushi
Waziri Mkuu Pinda ‘Alilia’ Wawekezaji Poland

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewasili nchini Poland kwa ziara ya siku mbili ya Kiserikali ambayo inalenga kuwavutia wafanyabiashara wa nchi hii waje kuwekeza Tanzania. Mara…

Continue Reading....

JK Afagilia Kiwango cha Uwekezaji China

Posted on: October 24, 2014 - jomushi
Post Tags: China, Rais Kikwete, Uwekezaji
JK Afagilia Kiwango cha Uwekezaji China

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kuwa anafurahishwa na kiwango cha uwekezaji wa makampuni ya Jamhuri ya Watu wa China katika…

Continue Reading....

Ummy Mwalimu Asimamia Sheria Mazingira Kinondoni

Posted on: October 24, 2014 - jomushi
Post Tags: kinondoni, Sheria za Mazingira, Ummy Mwalimu
Ummy Mwalimu Asimamia Sheria Mazingira Kinondoni

Hussein Makame – MAELEZO NAIBU Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu amewataka watendaji wa Kata za halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kusimamia…

Continue Reading....

Sweden Yatoa Bilioni 42 Kusaidia Miradi ya Umoja wa Mataifa Tanzania

Posted on: October 24, 2014 - jomushi
Post Tags: Sweden, tanzania, Umoja wa Mataifa
Sweden Yatoa Bilioni 42 Kusaidia Miradi ya Umoja wa Mataifa Tanzania

Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari