Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 685

Author: jomushi

Matukio Picha Maadhimisho ya Miaka 69 ya UN

Posted on: October 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Miaka 69 ya UN, Profesa Anna Tibaijuka
Matukio Picha Maadhimisho ya Miaka 69 ya UN

Kapteni Emmanuel Kukula (aliyenyoosha kidole)  wa Jeshi la Wananchi Tanzania akiwa na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa…

Continue Reading....

China ‘Yamwaga’ Mabilioni Miradi ya Maendeleo Tanzania

Posted on: October 25, 2014 - jomushi
Post Tags: China, Maendeleo Tanzania, Miradi
China ‘Yamwaga’ Mabilioni Miradi ya Maendeleo Tanzania

JAMHURI ya Watu wa China, Oktoba 24, 2014, imetangaza neema kubwa kwa Tanzania, ikiwa ni pamoja na kutoa dola za Marekani milioni 85 kwa ajili…

Continue Reading....

Mama Salma Kikwete Katika Mazungumzo na Mke wa Rais wa China

Posted on: October 25, 2014 - jomushi
Post Tags: China, Mama Salma Kikwete, Mazungumzo
Mama Salma Kikwete Katika Mazungumzo na Mke wa Rais wa China

Continue Reading....

Jitihada za Pamoja Kigezo Kutokomeza Magonjwa Yasioambukizwa Tanzania

Posted on: October 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Hospitali ya Apollo, Matibabu ya Upasuaji, tanzania
Jitihada za Pamoja Kigezo Kutokomeza Magonjwa Yasioambukizwa Tanzania

KUISHI ni jambo moja. Kuishi maisha yenye afya njema ni kitu kingine kabisa. Hakuna anaeweza kushuhudia juu ya ukweli huu zaidi ya wale wapatao adha…

Continue Reading....

Diamond: Siwezi Kwenda Mahakamani…!

Posted on: October 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Bongo fleva, Diamond Platnumz, Msanii
Diamond: Siwezi Kwenda Mahakamani…!

MSANII nyota wa muziki wa bongo fleva Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz amesema kamwe hawezi kwenda mahakamani kumshtaki mtu kwa ajili ya kashfa na vituko…

Continue Reading....

Wananchi Watahadharishwa na Tiba Feki

Posted on: October 25, 2014October 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Tiba feki, Tiba za asili
Wananchi Watahadharishwa na Tiba Feki

Na Beatrice Lyimo – Maelezo. BARAZA la Tiba Asili na Tiba Mbadala latoa tamko kuhusu vipindi na matangazo yote ya tiba asilia na tiba mbadala…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari