Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 653

Author: jomushi

Hotuba ya Waziri Mkuu Pinda Akiliahirisha Bunge

Posted on: November 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Hotuba ya Waziri Mkuu, Pinda Bungeni
Hotuba ya Waziri Mkuu Pinda Akiliahirisha Bunge

HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P.  PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA…

Continue Reading....

Mapokezi ya Rais Kikwete Alipowasili Kutoka Marekani

Posted on: November 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Mapokezi, Marekani, Rais Kikwete
Mapokezi ya Rais Kikwete Alipowasili Kutoka Marekani

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa abiria wakati ndege aliyopanda ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani…

Continue Reading....

Mgogoro wa Ardhi Kati ya Kenya na Wa-Ogiek Wanguruma Mahakamani

Posted on: November 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Kenya na Ogiek, Mahakamani, Mgogoro wa Ardhi
Mgogoro wa Ardhi Kati ya Kenya na Wa-Ogiek Wanguruma Mahakamani

Na Mtua Salira EANA Arusha MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) yenye makao yake Makuu Mjini Arusha, Tanzania imeanza kusikiliza kesi…

Continue Reading....

Baraza la Mawaziri Lilinikataza Kutaja Ugonjwa – Rais Kikwete

Posted on: November 29, 2014 - jomushi
Post Tags: Mawaziri, Rais Kikwete, Ugonjwa
Baraza la Mawaziri Lilinikataza Kutaja Ugonjwa – Rais Kikwete

Na Mwandishi Wetu, RAIS Jakaya Kikwete amewasili salama nchini Tanzania leo akitokea nchini Marekani alipokuwa kwa matibabu ambapo alifanyiwa upasuaji kutibiwa saratani ya tezi dume…

Continue Reading....

Helikopta Yaanguka Dar na Kuua Wanne

Posted on: November 29, 2014November 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Dar na Kuua Wanne, Helikopta yaanguka
Helikopta Yaanguka Dar na Kuua Wanne

HELIKOPTA iliyokuwa na watu wanne imeanguka eneo la Moshi Bar jirani na Sukuma Land Bar Ukonga na kuua abiria wote. Taarifa za awali zinasema Helikopta…

Continue Reading....

Waziri wa Nishati na Madini ‘Avunja’ Kikao cha Bunge

Posted on: November 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Bunge, Kikao, Waziri Nishati na Madini
Waziri wa Nishati na Madini ‘Avunja’ Kikao cha Bunge

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesababisha kuvunjika kwa kikao cha Bunge kilichokuwa kikiendelea usiku huu mjini Dodoma baada ya azimio la kumuwajibisha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari