Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 523

Author: jomushi

Vanessa Mdee Apata Pigo la Msiba…!

Posted on: May 22, 2015 - jomushi
Post Tags: Msiba, Vanessa Mdee
Vanessa Mdee Apata Pigo la Msiba…!

Muimbaji mahiri Vanessa Mdee amefiwa na dada yake mkubwa Anna Mdee, ambaye amefariki katika hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam,  jana Jumatano alfajiri. Anna ambaye alikuwa…

Continue Reading....

Kada CCM Ajitosa, Atangaza Kugombea Jimbo la Kawe Dar

Posted on: May 22, 2015 - jomushi
Post Tags: Jimbo la Kawe, Kada CCM, Kugombea
Kada CCM Ajitosa, Atangaza Kugombea Jimbo la Kawe Dar

Kada huyo, Elias Nawera (katikati), akizungumza na wanachama wa CCM na viongozi mbalimbali (hawapo pichani). Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Tawi la Kawe Ukwamani,…

Continue Reading....

‘Festula Yawatesa Akinamama 3,000 Tanzania Kila Mwaka’

Posted on: May 22, 2015 - jomushi
Post Tags: Akinamama, Festula, tanzania
‘Festula Yawatesa Akinamama 3,000 Tanzania Kila Mwaka’

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam ZAIDI ya akinamama 3,000 nchini Tanzania huugua ugonjwa wa fistula mara baada ya kujifungua kila mwaka, huku sababu kubwa…

Continue Reading....

TAMWA Kuwajengea Uwezo Waandishi Uandishi Habari za Uchaguzi

Posted on: May 22, 2015May 22, 2015 - jomushi
Post Tags: Habari za Uchaguzi, TAMWA, Waandishi
TAMWA Kuwajengea Uwezo Waandishi Uandishi Habari za Uchaguzi

CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kimepanga kuwajengea uwezo baadhi ya waandishi wa habari nchini juu ya uandishi wa habari za uchaguzi kujiandaa na…

Continue Reading....

Al Shaabab Wavamia Msikiti Kenya, Auwawa kwa Risasi Burundi

Posted on: May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Al Shaabab, Kenya, Msikiti, Risasi Burundi
Al Shaabab Wavamia Msikiti Kenya, Auwawa kwa Risasi Burundi

VIONGOZI Kaskazini mwa Kenya wamesema wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab wamevamia msikiti mmoja eneo la Garissa kwa masaa kadhaa. Wapiganaji…

Continue Reading....

Walemavu Wafunga Barabara ya Kawawa Dar, Shughuli Zasimama

Posted on: May 21, 2015May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Barabara za Kawawa, Uhuru, Walemavu
Walemavu Wafunga Barabara ya Kawawa Dar, Shughuli Zasimama

WAFANYABIASHARA ndogondogo wenye ulemavu eneo la Mchikichini, Karume jijini Dar es Salaam wamefunga barabara kwa zaidi ya saa nne wakishinikiza kuonana na Mkuu wa Mkoa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari