Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,301

Author: jomushi

Babu Loliondo afanya maajabu

Posted on: April 4, 2011 - jomushi
Babu Loliondo afanya maajabu

Na Mwandishi Wetu, Loliondo MIUJIZA ya Mchungaji Ambilikile Mwasapile wa Kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro juzi Ilijidhihirisha kijijini hapa baada ya mmoja wa wezi…

Continue Reading....

Usiyoyafahamu kuhusu Mchungaji Mwasapila

Posted on: April 2, 2011April 2, 2011 - jomushi
Usiyoyafahamu kuhusu Mchungaji Mwasapila

  HIVI unafahamu kwamba Mchungaji Ambilikile Mwasapila ambaye umaarufu wake umepanda kwa kasi kutokana na kutoa tiba ya magonjwa sugu, ni yatima ambaye hakuwahi kuwafahamu…

Continue Reading....

Majaji 12 wapata kikombe kwa Babu

Posted on: April 2, 2011 - jomushi
Majaji 12 wapata kikombe kwa Babu

MAJAJI 12 ambao ni wakuu wa Kanda za Mahakama Kuu ya Tanzania, jana waliingia katika orodha ya vigogo kufika Samunge, Loliondo kupata tiba ya magonjwa…

Continue Reading....

Obama on Libya: ‘We have a responsibility to act’

Posted on: March 29, 2011 - jomushi
Obama on Libya: ‘We have a responsibility to act’

WASHINGTON – Vigorously defending the first war launched on his watch, President Barack Obama declared Monday night that the United States intervened in Libya to…

Continue Reading....

Mtuhumiwa wa uhujumu uchumi amkataa hakimu

Posted on: March 25, 2011March 26, 2011 - jomushi
Mtuhumiwa wa uhujumu uchumi amkataa hakimu

  NA Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu na Meneja Utawala na Fedha, Grace Martin, wamewasilisha ombi la kumkataa hakimu…

Continue Reading....

CCM waijibu Chadema, watoa kauli nzito

Posted on: March 25, 2011April 16, 2014 - jomushi
CCM waijibu Chadema, watoa kauli nzito

Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimejibu hoja zilizoelekezwa kwao na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hivi karibuni baada ya kikao cha Kamati…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari