Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,299

Author: jomushi

Kilimo Kwanza bado akijamnufaisha mkulima

Posted on: April 14, 2011 - jomushi
Kilimo Kwanza bado akijamnufaisha mkulima

Na Mwandishi Wetu Morogoro DHANA ya Kilimo Kwanza imeshindwa kuwanufaisha wazalishaji wadogo wadogo wanaoishi vijijini kutokana na rasilimali zinazotakiwa kuelekezwa katika maeneo hayo kushindwa kutolewa…

Continue Reading....

JAMBO LEO YAIVUA GAMBA UHURU

Posted on: April 14, 2011April 16, 2014 - jomushi

TIMU ya soka ya Jambo Leo ‘Wagumu Star’ jana imeibanjua timu ya soka ya Uhuru inayomilikiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ‘wazee wa kujivua gamba’…

Continue Reading....

Wilson Mukama awa Katibu Mkuu CCM

Posted on: April 12, 2011April 13, 2011 - jomushi
Wilson Mukama awa Katibu Mkuu CCM

HATIMAYE kitendawili cha mageuzi mkubwa ya CCM kupata viongopzi wapya wa Kamati Kuu (CC) ya Chama hicho kimeteguliwa na sasa atakayeshika nafasi ya Katibu Mkuu…

Continue Reading....

Chadema wachoma moto muswada wa marekebisho ya Katiba

Posted on: April 12, 2011 - jomushi
Chadema wachoma moto muswada wa marekebisho ya Katiba

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Hamad Mussa Yussuf , akichoma moto mswada wa sheria ya kuanzisha Tume ya kurekebisha Katiba Tanzania leo wakati wa…

Continue Reading....

Hatimaye Laurent Gbagbo akamatwa

Posted on: April 12, 2011April 12, 2011 - jomushi
Hatimaye Laurent Gbagbo akamatwa

Laurent Gbagbo akiwa chini ya ulinzi wa majeshi ya Umoja wa Mataifa baada ya kukamatwa kwenye hoteli moja ambamo alikuwa amejificha mjini Abidjan. Taarifa zaidi…

Continue Reading....

YANGA BINGWA TANZANIA, SIMBA MAMBO MABAYA

Posted on: April 12, 2011April 12, 2011 - jomushi
YANGA BINGWA TANZANIA, SIMBA MAMBO MABAYA

BAADA ya timu ya Yanga ya Dar es Salaam kutangazwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, hali imekuwa mbaya kwa wapinzani wao wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari