Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,298

Author: jomushi

Butiku: Serikali iwe sikivu mjadala Katiba mpya

Posted on: April 17, 2011 - jomushi
Butiku: Serikali iwe sikivu mjadala Katiba mpya

MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku ameitaka Serikali kuwa sikivu na kusikiliza wananchi wanataka nini juu ya mchakato wa katiba mpya na si…

Continue Reading....

Basi la Ngorika laua tisa na kujeruhi 16

Posted on: April 15, 2011April 16, 2011 - jomushi
Basi la Ngorika laua tisa na kujeruhi 16

Na Mwandishi Wetu Arusha WATU 9 wamefariki dunia na wengine nane kujeruhiwa huku wanne kati yao wakiwa na hali mbaya, baada ya magari waliyokuwa wakisafiria…

Continue Reading....

Takukuru ‘yawalinda’ wezi wa mifugo Karagwe

Posted on: April 14, 2011April 14, 2011 - jomushi
Takukuru ‘yawalinda’ wezi wa mifugo Karagwe

    Na Mwandishi Wetu Karagwe WANANCHI mkoani Kagera wanaituhumu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa inajihusisha na vitendo vya kuwalinda wezi…

Continue Reading....

Dewji amwaga mahindi tani 100 kwa wapigakura wake

Posted on: April 14, 2011 - jomushi
Dewji amwaga mahindi tani 100 kwa wapigakura wake

Na Mwandishi Wetu Singida MBUNGE wa Jimbo la Singida Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohammed Dewji, ametoa msaada wa tani 100 za…

Continue Reading....

DC Serengeti akemea matapeli wa safari za Loliondo

Posted on: April 14, 2011 - jomushi
DC Serengeti akemea matapeli wa safari za Loliondo

Na Mwandishi Wetu Serengeti SERIKALI wilayani Serengeti mkoani Mara, imekilalamikia kitendo cha baadhi ya wafanyabiashara kuendelea kutumia malori kusafirisha wagonjwa kwenda Loliondo kupata tiba kwa…

Continue Reading....

Diwani Chadema amshtaki Mkurugenzi wa Halmashauri

Posted on: April 14, 2011 - jomushi
Diwani Chadema amshtaki Mkurugenzi wa Halmashauri

Na Mwandishi Wetu Sumbawanga DIWANI wa Kata ya Makanyagio wa Chama cha Demikrasia na Maendeleo (CHADEMA), wilayani Mpanda, Iddy Nziguye amemfikisha mahakamani Mkurugenzi wa Halmashauri…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari