Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,297

Author: jomushi

Babu Loliondo ashindwa ‘waponya’ wenye VVU

Posted on: April 19, 2011April 19, 2011 - jomushi
Babu Loliondo ashindwa ‘waponya’ wenye VVU

Na Mwandishi Wetu Kahama WANANCHI wanaosumbuliwa na magonjwa mbalimbali ikiwemo Ukimwi wameshauriwa kuendelea kutumia dawa wanazopewa na wataalamu hospitalini hata kama wamefanikiwa kunywa kikombe cha…

Continue Reading....

CWT Kilimanjaro wamlaani RC

Posted on: April 19, 2011 - jomushi
CWT Kilimanjaro wamlaani RC

Na Mwandishi Wetu Moshi CHAMA cha Walimu (CWT) mkoani Kilimanjaro wamelaani vikali kitendo kilichofanywa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Kalembo cha kuiamuru…

Continue Reading....

JAMBO LEO MABINGWA NSSF CUP

Posted on: April 17, 2011 - jomushi
JAMBO LEO MABINGWA NSSF CUP

TIMU ya soka ya Jambo Leo ‘Wagumu Star’ inayomilikiwa na kampuni ya Jambo Concepts Ltd, imetwaa Ubingwa wa Kombe la Shirika la Taifa la Hifadhi…

Continue Reading....

Babu wa Loliondo awashukia wanaomuiga

Posted on: April 17, 2011 - jomushi
Babu wa Loliondo awashukia wanaomuiga

Ngorongoro MCHUNGAJI mstaafu Ambilikile Mwasapila (Babu) amesema baadhi ya watu wanaodai kutibu kwa kutumia tiba ya kikombe kama anavyofanya yeye ni wauaji, wezi na wanasumbuliwa…

Continue Reading....

Bunda wata ushuru wa magari ya Loliondo

Posted on: April 17, 2011 - jomushi
Bunda wata ushuru wa magari ya Loliondo

Bunda HALMASHAURI ya Wilaya ya Bunda, inatarajia kufanya mazungumzo na uongozi wa wilaya hiyo, ili iruhusiwe kukusanya ushuru kwenye magari yanayofika katika kituo cha Bunda,…

Continue Reading....

Akamatwa akimiliki duma kinyume cha sheria

Posted on: April 17, 2011 - jomushi
Akamatwa akimiliki duma kinyume cha sheria

Na Mwandishi Wetu Arusha KIKOSI cha Kupambana na Ujangili Kanda ya Kaskazini kinamshikilia Rahman Hassan kwa tuhuma za kupatikana na wanyama aina ya duma (Cheater),…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari