Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,292

Author: jomushi

JK akiwasili nchini Uganda

Posted on: May 12, 2011 - jomushi
JK akiwasili nchini Uganda

Rais Jakaya Kikwete amewasili nchini Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Yoweri Museveni zinazofanyika Uganda leo. Museveni anaapishwa baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa…

Continue Reading....

Nahodha azungumzia Wazenji kuchoma mabanda ya Wabara

Posted on: May 10, 2011 - jomushi
Nahodha azungumzia Wazenji kuchoma mabanda ya Wabara

Na Said Mwishehe Dodoma WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha amesema kubomolewa kwa mabanda 73 ya wafanyabiashara mjini Unguja Zanzibar ni…

Continue Reading....

Dk Bilal azitaka nchi tajiri kutimiza ahadi

Posted on: May 10, 2011 - jomushi
Dk Bilal azitaka nchi tajiri kutimiza ahadi

Na Mwandishi Maalum Instabul TANZANIA imetoa wito kwa nchi tajiri kutambua nafasi yao katika kuzikwamua nchi masikini ili ziweze kukuza uchumi wake na kuwasaidia wananchi…

Continue Reading....

CCM yagawanyika Songea

Posted on: May 10, 2011 - jomushi
CCM yagawanyika Songea

CCM yagawanyika Songea Na Mwandishi Wetu Songea WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatengeneza mazingira ya kujisafisha kuanzia ngazi ya Taifa hadi kwenye matawi kwa kauli…

Continue Reading....

Mashindano ya KCB East African Tour 2011 yazinduliwa

Posted on: May 10, 2011May 10, 2011 - jomushi
Mashindano ya KCB East African Tour 2011 yazinduliwa

Na Janeth Mushi Arusha MASHINDANO ya Benki ya Biashara Kenya (KCB) East Africa Golf Tour 2011 yanayoanza leo mjini hapa katika viwanja vya Arusha Gymkana…

Continue Reading....

Madiwani walilia mishahara kama wabunge

Posted on: May 9, 2011 - jomushi
Madiwani walilia mishahara kama wabunge

Na Mwandishi Wetu Kilwa MADIWANI wa halmashauri mbalimbali za Mkoa wa Lindi wameishauri Serikali kubadili mfumo wa malipo kwa viongozi hao kutoka kulipwa posho na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari