Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,291

Author: jomushi

Nape amjibu Mpendazoe kuhusu waanzilishi wa CCJ

Posted on: May 17, 2011 - jomushi
Nape amjibu Mpendazoe kuhusu waanzilishi wa CCJ

Na Edson Kamukara KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi na Uenezi, Nape Mnauye, ameendelea kukanusha madai ya kuhusika na uasisi wa…

Continue Reading....

Dk Shein amzika msanii Maulid Mohammed ‘Machaprala”

Posted on: May 14, 2011 - jomushi
Dk Shein amzika msanii Maulid Mohammed ‘Machaprala”

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akishiriki na waumini wengine wa dini ya Kiislamu kusalia Jeneza la marehemu msanii Maulid Mohammed ‘Machaprala’, katika msikiti…

Continue Reading....

Salma Kikwete ataka mchezo wa bao uende shuleni

Posted on: May 14, 2011May 14, 2011 - jomushi
Salma Kikwete ataka mchezo wa bao uende shuleni

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) na mlezi wa Shirikisho la Mchezo wa Jadi wa Bao, Mama Salma Kikwete (kushoto) akicheza bao na…

Continue Reading....

Barmingham City ya Uingereza kuja Tanzania

Posted on: May 14, 2011May 14, 2011 - jomushi
Barmingham City ya Uingereza kuja Tanzania

Kocha Msaidizi wa Timu ya Barmingham City, kutoka nchini Uingereza inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini humo, Andy Watson (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini…

Continue Reading....

Mume amchinja mkewe kama ‘kuku’

Posted on: May 13, 2011 - jomushi
Mume amchinja mkewe kama ‘kuku’

Na Said Mwishehe Dodoma MWANAUME aliyefahamika kwa jina la Lucas Makomela (55) amefanya mauji ya kutisha baada ya kumchinja mkewe, Josephina Tatu (42) kisha naye…

Continue Reading....

Museveni aapishwa kuwa Rais wa Uganda tena

Posted on: May 13, 2011 - jomushi
Museveni aapishwa kuwa Rais wa Uganda tena

Rais Yoweri Kaguta Museveni akila kiapo cha urais katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Kololo jijini Kampala Uganda jana huku mkewe Mama Janeth Museveni akishuhudiaRais…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari