Na Asha Kigundula Arusha TIMU ya soka ya Mkoa wa Ilala leo itakuwa na kibarua kigumu itakapovaana na timu ya soka ya Mkoa wa Mwanza…
Continue Reading....Author: jomushi
Ofisi ya Mwanasheria iheshimu kanuni-Waziri Kombani
Na Ismail Ngayonga MAELEZO, Dar es Salaam WAFANYAKAZI katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wametakiwa kuheshimu kanuni za fedha na kuweka sawa hesabu ili…
Continue Reading....Baba mahakamani kwa kutaka kuuwa kichanga
Na Mwandishi Wetu Maswa POLISI wilayani Maswa, Mkoa wa Shinyanga imemfikisha mahakamani, Baya Mlyagape (24) mkazi wa Kijiji cha Songambele Kata ya Ipililo kwa kosa…
Continue Reading....Wafungwa wa kesi za EPA wakielekea gerezani
Washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh bilioni 1.8 katika Akaunti ya madeni ya nje (EPA) ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Farijala Hussein…
Continue Reading....Watuhumiwa wa EPA wawili waenda jela miaka 5
Na Mwandishi Wetu WATUHUMIWA Farijala Hussein na binamu yake Rajabu Maranda wa kesi ya wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya…
Continue Reading....239,250 wanywa dawa za mabusha, matende
Na Mwandishi Wetu Morogoro SHUGHULI za uhamasishaji wa wananchi kunywa dawa za ugonjwa wa usubi, matende na mabusha Wilaya ya Morogoro zimekuwa na mwitikio mzuri…
Continue Reading....