Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,285

Author: jomushi

Ajali mbaya Iringa

Posted on: May 24, 2011 - jomushi
Ajali mbaya Iringa

Gari aina ya fuso lenye namba za usajili T115 ANZ likiwa limepinduka na mizigo kuzagaa baada ya kupata ajali mkoani Iringa jana. Katika ajali hiyo…

Continue Reading....

Bongo movie wakikaguliwa kabla ya pambano

Posted on: May 24, 2011 - jomushi
Bongo movie wakikaguliwa kabla ya pambano

Mbunge wa Ilemela Mh. Highness Kiwia akisalimiana na Steve Nyerere ‘Messi’ wa Bongo Movie Stars kabla ya mchezo. (Picha na John Bukuku wa Full Shangwe)

Continue Reading....

BONGO MOVIE STARS FC YATUA MWANZA

Posted on: May 24, 2011 - jomushi
BONGO MOVIE STARS FC YATUA MWANZA

Steve Nyerere ‘Messi’ na JB wakiingia uwanja wa Kirumba taratiiiiibu tayari kupambana na timu ya waandishi wa habari wa Mwanza ijulikanayo kama Rock City Stars…

Continue Reading....

Ajali; Wawili wafa 28 wajeruhiwa Iringa

Posted on: May 24, 2011 - jomushi
Ajali; Wawili wafa 28 wajeruhiwa Iringa

Francis Godwin Iringa WATU wawili wamekufa papo hapo na wengine 28 kujeruhiwa vibaya baada ya fuso lenye namba za usajili T115 ANZ walilokuwa wakisafiria kwenda…

Continue Reading....

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

Posted on: May 23, 2011 - jomushi
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

Wajumbe wa mkutano wa Baraza la wafanyakazi ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kufunguliwa kwa mkutano…

Continue Reading....

Ruvuma ‘out’ Kili Taifa Cup

Posted on: May 23, 2011 - jomushi
Ruvuma ‘out’ Kili Taifa Cup

Na Asha Kigundula, Arusha TIMU ya soka ya Mkoa wa Ruvuma jana imeaga mashindano ya Kili Taifa Cup baada ya kupokea kipigo cha mabao 3-2…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari