Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,287

Author: jomushi

Dk Mahanga asaidia vicoba Kimanga D’Salaam

Posted on: May 23, 2011 - jomushi
Dk Mahanga asaidia vicoba Kimanga D’Salaam

MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dk. Makongoro Mahanga akikabidhi sh. 500,000 kwa umoja wa VICOBA katika Mtaa Tembomgwaza Kata ya Kimanga, Dar es Salaam wakati…

Continue Reading....

IGP Mwema awapa changamoto Sumatra, trafiki

Posted on: May 23, 2011May 23, 2011 - jomushi
IGP Mwema awapa changamoto Sumatra, trafiki

Na Mwandishi wetu Morogoro INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Said Mwema amewataka watendaji wake kwa kushirikiana na Mamlaka ya Uthibiti wa Usafiri wa Majini na…

Continue Reading....

Wamisri kuchezesha Simba v WYDAD

Posted on: May 23, 2011 - jomushi
Wamisri kuchezesha Simba v WYDAD

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Misri kuchezesha pambano la mkondo mmoja kati ya Simba ya Tanzania na Wydad Casablanca ya…

Continue Reading....

Rais Kikwete ahani msiba wa Shekh Yahya Hussein

Posted on: May 22, 2011 - jomushi
Rais Kikwete ahani msiba wa Shekh Yahya Hussein

Rais Kikwete akipokewa na Hassan Yahya Hussein, Mtoto mkubwa wa Marehemu Sheikh Yahya Hussein alipokwenda kuhani msiba wa mnajimu huyo maarufuf nyumbani kwa Marehemu Magomeni…

Continue Reading....

JK akiwa kwenye msiba wa Hassan Mwinyimvua

Posted on: May 22, 2011 - jomushi
JK akiwa kwenye msiba wa Hassan Mwinyimvua

Rais Kikwete akiwa na ndugu, jamaa na marafiki aliokwenda kuhani msiba wa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CCM, marehemu Athumani Hassan Mwinyimvua mtaa wa…

Continue Reading....

TAWLA kusaidia wanawake, watoto kisheria

Posted on: May 22, 2011 - jomushi
TAWLA kusaidia wanawake, watoto kisheria

Na Tiganya Vincent, MAELEZO-Dar es Salam Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kimeahidi kuendelea kutoa msaada wa kisheria kwa wanawake na watoto wengi wanaokandamizwa pindi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari