Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,196

Author: jomushi

Dk. Bilal asaini makubaliano ya itifaki za SADC kudhibiti fedha chafu

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Dk. Bilal asaini makubaliano ya itifaki za SADC kudhibiti fedha chafu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maafikiano yaliyotokana na itifaki ya pamoja kwa nchi za…

Continue Reading....

Wakili Mwale apelekwa Gereza la Kisongo

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Wakili Mwale apelekwa Gereza la Kisongo

Na Janeth Mushi, Arusha HATIMAYE wakili maarufu mkoani hapa, Medium Mwale anayeshtakiwa kwa kosa la uhujumu uchumi wa zaidi ya sh. bilioni 18 na kughushi…

Continue Reading....

Timu washiriki Ligi Kuu kulamba mil 26.3 kila moja

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Timu washiriki Ligi Kuu kulamba mil 26.3 kila moja

Na Mwandishi Wetu KILA timu inayoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajia kupewa jumla ya sh. milioni 26.3, fedha zitakazotumika kama gharama ya klabu katika…

Continue Reading....

Msimu mpya Ligi Kuu kuanza kesho, timu 10 kupambana

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Msimu mpya Ligi Kuu kuanza kesho, timu 10 kupambana

Na Mwandishi Wetu MSIMU mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom 2011/12 unaanza kesho, Agosti 20 mwaka huu, ambapo timu 10 kati ya 14 zinazoshiriki katika…

Continue Reading....

CHADEMA yazuiwa kufanya mikutano

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
CHADEMA yazuiwa kufanya mikutano

Na Janeth Mushi, Arusha MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha imetoa umauzi mdogo wa kuzuia kwa muda mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Continue Reading....

Kufanya Mapinduzi ya Kilimo ni dhamira ya SMZ- Dk. Shein

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Kufanya Mapinduzi ya Kilimo ni dhamira ya SMZ- Dk. Shein

Na Rajab Mkasaba, Zanzibar MAPINDUZI ya kilimo ndio mwelekeo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Awamu ya Saba yenye nia ya kutekeleza kwa vitendo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari