Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,195

Author: jomushi

Majeshi ya NATO yakabidhi ulinzi kwa Afghanistan

Posted on: August 20, 2011August 20, 2011 - jomushi
Majeshi ya NATO yakabidhi ulinzi kwa Afghanistan

Afghanistan imeanza utaratibu wa kuchukua madaraka ya usalama yenyewe, na jimbo la Banyan limekuwa la mwanzo kukabidhiwa na jeshi la NATO kwa polisi wa Afghanistan.…

Continue Reading....

Vifo vya askari wa Marekani vyaongezeka Afghanistan

Posted on: August 20, 2011 - jomushi
Vifo vya askari wa Marekani vyaongezeka Afghanistan

  Askari wa Jeshi la Marekani wameendelea kuteketea na kufikia askari 31 ikilinganisha na mapema miezi iliyopita hii ni kutokana na kuanguka kwa helkopata ya…

Continue Reading....

Afghanistan yashambulia ofisi ya Uingereza, Kabul

Posted on: August 20, 2011August 20, 2011 - jomushi
Afghanistan yashambulia ofisi ya Uingereza, Kabul

Washambuliaji waliojitoa mhanga wameshambulia afisi za British Council katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, na kuwaua takriban watu tisa na kushikilia eneo la Ofisi hizo…

Continue Reading....

Tanzania yapiga marufuku uuzaji wanyamapori

Posted on: August 20, 2011August 20, 2011 - jomushi
Tanzania yapiga marufuku uuzaji wanyamapori

Tanzania imetangaza kupiga marufuku biashara ya kukamata na kuwasafirisha wanyamapori kwenda nje ya nchi. Hatua hiyo imetangazwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akijibu hoja…

Continue Reading....

CCM waanza rafu Jimbo la Igunga, Takukuru yawanasa wakipeana mlungula uchaguzi kura za maoni

Posted on: August 19, 2011August 19, 2011 - jomushi
CCM waanza rafu Jimbo la Igunga, Takukuru yawanasa wakipeana mlungula uchaguzi kura za maoni

Na Mwandishi Wetu, Igunga MCHAKATO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kura za maoni kuteua majina ambayo yatawasilishwa katika kikao cha Kamati ya Siasa ya…

Continue Reading....

Longo longo za upatikanaji umeme nchini zaendelea

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Longo longo za upatikanaji umeme nchini zaendelea

TAARIFA YA SERIKALI KUHUSU HALI YA UMEME NCHINI, WIKI HII Taarifa hii imewasilishwa jana bungeni Dodoma Mheshimiwa Spika, jana asubuhi, baada ya kipindi cha maswali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari