Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,147

Author: jomushi

Madaktari 21 wa China wajitambulisha Ikulu Zanzibar

Posted on: September 24, 2011September 24, 2011 - jomushi
Madaktari 21 wa China wajitambulisha Ikulu Zanzibar

Na Rajab Mkasaba, Zanzibar MADAKTARI wapya 21 kutoka China wamefika Ikulu mjini Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza…

Continue Reading....

Asali ya Tanzania inaubora wa kimataifa

Posted on: September 24, 2011September 24, 2011 - jomushi
Asali ya Tanzania inaubora wa kimataifa

WIZARA ya Maliasili na Utalii inatoa taarifa kuwa asali ya Tanzania ni nzuri kwa matumizi ya binadamu na kuwa ina viwango vya ubora vya kimataifa.…

Continue Reading....

Wafugaji 33,422 wanufaika na mradi World Vision

Posted on: September 24, 2011September 25, 2011 - jomushi
Wafugaji 33,422 wanufaika na mradi World Vision

Na Janeth Mushi, Arusha WAKAZI 33,422 wa jamii ya wafugaji wanaokabiliwa na tatizo la njaa wilayani Longido mkoani hapa wamenufaika na mradi toka Shirika lisilo…

Continue Reading....

T-MOTO MODERN TAARAB YATUA DAR KUFYATUA SITA MPYA

Posted on: September 24, 2011 - jomushi
T-MOTO MODERN TAARAB YATUA DAR KUFYATUA SITA MPYA

KUNDI jipya la muziki wa taarab la Tanzania Moto Modern Taarab (T-Moto) limetua jijini Dar es Salaam leo asubuhi kutoka mfichoni katika Visiwa vya Zanzibar,…

Continue Reading....

Maadhimisho ya wiki ya unywaji maziwa shuleni

Posted on: September 24, 2011September 24, 2011 - jomushi
Maadhimisho ya wiki ya unywaji maziwa shuleni

MAANDALIZI ya maadhimisho ya wiki ya unywaji wa maziwa Shuleni, ambayo hufanyika Septemba 28 kila mwaka duniani yamepamba moto mkoani Arusha ambapo maadhimisho hayo yanatarajiwa…

Continue Reading....

Uzinduzi wa Vodacom Mwanza Cycle challenge

Posted on: September 24, 2011 - jomushi
Uzinduzi wa Vodacom Mwanza Cycle challenge

Meneja udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mbio za baiskeli “Vodacom Mwanza Cycle challenge”…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari