Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,146

Author: jomushi

Profesa Wangari Maathai afariki dunia

Posted on: September 26, 2011 - jomushi
Profesa Wangari Maathai afariki dunia

Nairobi MWANAHARAKATI maarufu na mtunukiwa wa tuzo ya Amani ya Nobel, Profesa Wangari Maathai amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71. Mwanaharakati huyo mashuhuri…

Continue Reading....

Wanawake Saudia waruhusu kupiga kura

Posted on: September 26, 2011 - jomushi
Wanawake Saudia waruhusu kupiga kura

WANAWAKE wa Saudi Arabia hivi sasa wanabaguliwa sana, pamoja na kukatazwa kuendesha gari. Mfalme Abdullah bin Abdelaziz alisema wanawake sasa wataweza kupiga kura na piya…

Continue Reading....

Dk. Shein afanya uteuzi mpya wa viongozi

Posted on: September 26, 2011 - jomushi
Dk. Shein afanya uteuzi mpya wa viongozi

Na Rajab Mkasaba, Ikulu- Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi katika nyadhifa mbalimbali, ambapo amemteua…

Continue Reading....

Mbio za mbuzi za Vodacom kuchangia yatima

Posted on: September 25, 2011 - jomushi
Mbio za mbuzi za Vodacom kuchangia yatima

Continue Reading....

SHOOTING YAPIGWA FAINI SH. 500,000

Posted on: September 25, 2011 - jomushi
SHOOTING YAPIGWA FAINI SH. 500,000

KAMATI ya Mashindano ya TFF imeipiga faini ya sh. 500,000 timu ya Ruvu Shooting ya Mkoa wa Pwani baada ya kupata kadi sita kwenye mechi…

Continue Reading....

TFF wataka ufafanuzi juu ya mbwa wa polisi

Posted on: September 24, 2011 - jomushi
TFF wataka ufafanuzi juu ya mbwa wa polisi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko tukio la mbwa wa polisi kukata kamba na kusababisha mtafaruku kwa wachezaji wakati wa mechi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari