Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,145

Author: jomushi

Mechi ya Simba, Mtibwa zaingiza mil. 74

Posted on: September 26, 2011September 26, 2011 - jomushi
Mechi ya Simba, Mtibwa zaingiza mil. 74

MECHI ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Mtibwa Sugar iliyochezwa Septemba 25 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh.…

Continue Reading....

Dk. Shein aendelea kuwafariji wafiwa

Posted on: September 26, 2011 - jomushi
Dk. Shein aendelea kuwafariji wafiwa

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, leo amefanya ziara ya kuwafariji wafiwa katika…

Continue Reading....

Pingamizi la kesi ya Lema latupwa

Posted on: September 26, 2011 - jomushi
Pingamizi la kesi ya Lema latupwa

Na Mwandishi Wetu, Arusha MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, imetupilia mbali pingamizi zilizotolewa na wakili wa Serikali, Timon Vitalisa na Method Kimomogolo anayemtetea mdaiwa ambaye…

Continue Reading....

Watakiwa kuacha mapenzi masomoni

Posted on: September 26, 2011 - jomushi
Watakiwa kuacha mapenzi masomoni

Na Anna Nkinda – Maelezo WANAFUNZI nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kujiingiza katika mapenzi wakiwa masomoni kwani kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha yao kwa…

Continue Reading....

Kaburi la pamoja lagundulika Libya

Posted on: September 26, 2011 - jomushi
Kaburi la pamoja lagundulika Libya

KABURI la pamoja la mamia ya watu lagunduliwa mjini Tripoli, Libya. Kaburi la pamoja linaloaminika kuwa na miili 1,270 limegunduliwa katika mji mkuu wa Libya,…

Continue Reading....

Wenger: Kuvurunda kumeiathiri Arsenal kiuchumi

Posted on: September 26, 2011 - jomushi
Wenger: Kuvurunda kumeiathiri Arsenal kiuchumi

ARSENE Wenger amekiri kiwango cha chini cha soka kwa timu yake ya Arsenal kilichangia kupungua kwa mashabiki wake uwanjani wakati timu hiyo ilipocheza na Bolton…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari