Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Walemavu

Tag: Walemavu

DC Arusha Ataka Walemavu Kutengea Maeneo ya Biashara

Posted on: April 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Walemavu
DC Arusha Ataka Walemavu Kutengea Maeneo ya Biashara

MKUU wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu ameitaka Halmashauri ya Jiji hilo kutenga maeneo maulumu ya kuwawezesha wafanyabiashara wenye ulemavu kufanya shughuli za kujiingizia kipato…

Continue Reading....

Rais Dk Pombe Magufuli Awakuna Walemavu, Wampongeza

Posted on: December 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Walemavu
Rais Dk Pombe Magufuli Awakuna Walemavu, Wampongeza

Na Skolastika Tweneshe na Nyakongo Manyama, Maelezo SHIRIKISHO la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) limempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.…

Continue Reading....

CHAVITA Yasikitikia Ushiriki Mdogo wa Viziwi Uchaguzi Mkuu

Posted on: November 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Walemavu
CHAVITA Yasikitikia Ushiriki Mdogo wa Viziwi Uchaguzi Mkuu

Na Zawadi Msalla CHAMA Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) kimesikitishwa na kitendo cha ushiriki mbovu wa Viziwi katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba kote…

Continue Reading....

StarTimes Yasaidia Watoto Shule ya Walemavu wa Akili Airwing

Posted on: July 18, 2015 - jomushi
Post Tags: Airwing, StarTimes, Walemavu
StarTimes Yasaidia Watoto Shule ya Walemavu wa Akili Airwing

Kutoka kulia ni wafanyakazi wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi. Elena Liu na Paulina Kaka wakifurahia jambo pamoja na Mwalimu wa Shule ya Msingi ya…

Continue Reading....

Walemavu Wafunga Barabara ya Kawawa Dar, Shughuli Zasimama

Posted on: May 21, 2015May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Barabara za Kawawa, Uhuru, Walemavu
Walemavu Wafunga Barabara ya Kawawa Dar, Shughuli Zasimama

WAFANYABIASHARA ndogondogo wenye ulemavu eneo la Mchikichini, Karume jijini Dar es Salaam wamefunga barabara kwa zaidi ya saa nne wakishinikiza kuonana na Mkuu wa Mkoa…

Continue Reading....

Kituo cha Walemavu cha Buhangija Chaomba Zahanati…!

Posted on: January 9, 2015 - jomushi
Post Tags: Buhangija, Walemavu, Zahanati
Kituo cha Walemavu cha Buhangija Chaomba Zahanati…!

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga MKUU wa Wilaya ya Shinyanga Anne Rose Nyamubi ameomba jamii ya Watanzania kusaidia kupatikana kwa Zahanati katika Kituo cha kulelea watoto…

Continue Reading....
thehabari