Blogs Tanzania | News |  Michuzi ya Habari leo

 

Habari za Nyumbani Vurugu Arusha; Wabunge Arfi, Lissu, Akunaay Watiwa Mbaroni

Vurugu Arusha; Wabunge Arfi, Lissu, Akunaay Watiwa Mbaroni »

WABUNGE wanne wa Chadema, Said Arfi (Mpanda Mjini), Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti Maalumu) wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na mkusanyiko usio halali kwenye Uwanja wa Soweto jana. Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja alisema jana kwamba pamoja na wabunge hao pia wamewakamata watu wapatao 60 kutokana na vurugu [...]…

Jun 19 2013 / No Comment / Habari zaidi »
Baadhi ya wanafunzi Sekondari ya Nduweni wakiwa darasani

Wanafunzi Kidato cha Sita Wabebeshwa Mzigo wa Ualimu Sayansi Rombo »

Na Thehabari.com, Rombo KITENDO cha upungufu wa walimu wa sayansi nchini hasa katika shule za sekondari zinazomilikiwa na serikali kimezidi kuibua changamoto maeneo mbalimbali nchi. Shule ambazo kwa sasa zinakabiliwa na changamoto hiyo kwa kiasi kikubwa ni sekondari za kata ambazo uwingi wake umechochea zaidi changamoto hiyo. Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro ni miongoni mwa [...]…

Jun 19 2013 / No Comment / Habari zaidi »
20130619-074258.jpg

Mpigie kura Amir Nando abaki ndani ya nyumba! »

Amir anashiriki kwenye “Big Brother Africa”. Kwa sasa hivi anahitaji msaada wetu …Amir is up for eviction this week… Naomba tumpe vote ili asitolewe. Vilevile naomba tuhamasishe ndugu, jamaa, na marafiki wa nchi mbalimbali wampe vote. …Please vote #TeamNando…NO EVICTION TO TEAM NANDO……LET’S SUPPORT HIM PLEASE!!!.. at http://bigbrotherafrica.dstv.com/vote/ Tunamtakia ushindi!…

Jun 19 2013 / No Comment / Habari zaidi »
Dk Julius Rotich

Timu ya EAC ya Waangalizi wa Uchaguzi Kenya Yaandaa Ripoti »

Na Mtuwa Salira, Arusha TIMU ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ya Waangalizi wa Uchaguzi wa Kenya uliomalizika hivi karibuni inakutana mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro kufanya tathmini ya uchaguzi huo mkuu kisha kuanda ripoti kwa ajili ya Baraza la Mawaziri wa EAC kabla ya kukabidhiwa kwa wakuu wa nchi. Mkutano huo pamoja na mambo mengine [...]…

Jun 17 2013 / No Comment / Habari zaidi »
Rais Jakaya Kikwete

Kauli ya Rais Kikwete Juu ya Mlipuko wa Bomu Mkutano wa Chadema »

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mfadhaiko, mshituko na huzuni kubwa taarifa za shambulio la mlipuko lililotokea katika mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mjini Arusha jioni ya Juni 15, 2013, tukio ambalo limesababisha vifo vya watu wawili na majeruhi ya Watanzania kadhaa. Aidha, Rais Kikwete ametuma [...]…

Jun 17 2013 / No Comment / Habari zaidi »
Habari za Kimataifa

Uingereza Yaahidi Neema kwa Nchi Zinazoendelea »

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron

UINGEREZA imeahidi kuzijengea uwezo nchi zinazoendelea ili ziweze kutambua thamani ya maliasili zake kwa kuwataka wawekezaji katika nchi hizo kulipa kodi inayostahili, kuweka uwazi katika mapato yanayotokana na maliasili hizo na kuweza kuthaminisha ardhi ya nchi hizo kwa manufaa zaidi. Aidha, Uingereza inataka nchi zinazoendelea…

Jun 18 2013 / No Comment / soma zaidi »

Rais Mohammed Mursi Avunja Uhusiano na Damascus »

Rais wa Misri Mohammed Mursi

RAIS wa Misri, Mohammed Mursi amekata uhusiano wote wa kidiplomasia na utawala wa mjini Damascus, na kutoa wito wa kuundwa kwa eneo la marufuku ya kuruka ndege nchini Syria. Mohammed Mursi ametoa kauli hiyo alipokuwa akihutubia mkutano uliyoitishwa na viongozi wa madhehebu ya Sunni mjini…

Jun 16 2013 / No Comment / soma zaidi »

Iran Yapata Rais Mpya »

Rais mpya wa Iran, Hassan Rowhani

KIONGOZI wa chama chenye msimamo wa Kimhafidhina nchini Iran, Hassan Rouhani ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais nchini Iran uliofanyika juzi. Wizara ya mambo ya ndani nchini humo imesema, Rouhani ameshinda na zaidi ya kura milioni 18, kiwango ambacho ni zaidi ya asilimia 50 ya…

Jun 16 2013 / No Comment / soma zaidi »
Michezo Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Osiah

Klabu ya Nchini Thailand Yasaka Wachezaji Tanzania, TFF Yatoa ITC kwa Mtanzania Kucheza Yemen

KLABU ya Thai Port Football ya Thailand inatafuta wachezaji nchini Tanzania kwa ajili ya kucheza mpira wa miguu nchini humo na katika nchi nyingine barani Ulaya. Kupitia kwa wakala wake, klabu hiyo imetuma taarifa kupitia Shirikisho…

Jun 18 2013 / soma zaidi »
Burudani Yohana Matayo

Mabondia Yohana na Matayo Kuzipiga

KWA mara nyingine limeandaliwa pambano la ngumi la ki aina yake ni kati ya mabondia wakimya na wapole usoni na wasiopenda kabisa kuongea Yohana Robert aliekuwa bondia wa taifa na mkongwe katika masumbwi atakapopigana na Yohana…

Jun 18 2013 / soma zaidi »
Uchambuzi Kabwe Zitto akizungumza

HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI NDUGU KABWE ZUBERI ZITTO (MB), WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI, KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2013/2014

BOFYA HAPA KUSOMA BAJETI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI NDUGU KABWE ZUBERI ZITTO (MB), WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI, KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA…

Jun 18 2013 / soma zaidi »
Mahusiano

Nahisi Boss wangu anatembea na mume wangu, nahofia kazi yangu

Huu ni mwaka wa kumi sasa kwenye ndoa, na hivi karibuni nimegundua mabadiliko makubwa ya kitabia kwa mume wangu. Alikuwa hana kawaida ya kunipitia kazini baada ya kazi, ila siku hizi anakuja kunipitia, na kila akifika…

Jun 2 2013 / soma zaidi »
Habari za Vijijini Wanawake wa Kata ya Mshewe Wilaya ya Mbeya vijijini wakijadiliana namna ya kuanzia na kuendesha vituo vya taarifa na maarifa katika warsha iliyo endeshwa kwa siku mbili na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) na kumalizika jana.

TGNP Yaendesha Warsha Mbeya Juu ya Namna ya Kuanzisha na Kutumia Vituo vya Taaifa na Maarifa

Na Pendo Omary, Mbeya Vijijini MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeendesha warsha ya siku mbili kuhusu namna ya kuanzisha na kutumia vituo vya taarifa na maarifa katika kata ya Mshewe, wilaya Mbeya Vijijini yaliyomalizika jana. Mafunzo…

May 29 2013 / soma zaidi »
Scholarships EXTERNAL VACANCY NOTICE

EXTERNAL VACANCY NOTICE – UNHCR

UNHCR United Nations High Commissioner for Refugees Representation in Tanzania Plot 1658, Masaki Tel.: +255 22 2602708-10 P. O. Box 2666 +255 22 2602720-21 Dar es Salaam Fax: +255 22 2602757/58 Email: tanda@unhcr.org EXTERNAL VACANCY NOTICE…

May 17 2013 / soma zaidi »

 

 

Log in |

 

Google+