Tanzania news – TheHabari – Blog Tanzania

 

Habari za Kimataifa Rais wa Jamhuri ya Malawi

Malawi kubatilisha sheria ya mapenzi »

RAIS wa Malawi,Joyce Banda amesema kuwa anataka nchi hiyo ibatilishe sheria inayoharamisha ndoa za jinsia moja na kuifanya nchi ya kwanza ya kiafrika kufanya hivyo tangu mwaka 1994. Wananume wawili…

May 19 2012 / No Comment / soma zaidi »
Bomu lalipuka karibu na msafara wa waangalizi wa UM nchini Syria

Wangaalizi wa amani hatarini nchini Syria »

WAANGALIZI wa Umoja wa Mataifa nchini Syria wameondolewa katika mji wa Khan Sheikhoun, kaskazini mwa nchi hiyo siku moja baada ya msafara wao kupigwa na kombora katika makabiliano kati ya…

May 17 2012 / No Comment / soma zaidi »
Uchambuzi

Ikulu yampiga stop mmiliki wa Moses Nursery »

Jengo la Ikulu ya Tanzania iliyopo jijini Dar es Salaam

SIKU chache zilizopita, Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Moses Nursery ya Yombo Vituka, Dar es Salaam, Moses Kabambara amekuwa anasambaza kadi kwa watu binafsi, makampuni, mashirika na ofisi za ubalozi zilizoko nchini akisaka michango kwa ajili ya ununuzi wa madawati na ujenzi wa madarasa…

May 18 2012 / No Comment / soma zaidi »

ZUKU yadhamini Tamasha la ZIFF kwa bil. 1/- »

Mkurugenzi Mkuu wa Wananchi Group Richard Bell

ZUKU yadhamini Tamasha la ZIFF kwa bil. 1/- KAMPUNI ya Television ya kulipia ZUKU jana imetangaza kulidhamini tamasha la ZIFF kwa gharama ya sh. milioni mia moja kila mwaka kwa miaka kumi ijayo. Fedha hizo zinakwenda katika kulistawisha tamasha na kulitangaza katika wigo wa filamu…

May 17 2012 / No Comment / soma zaidi »
Michezo na Burudani

Ayisha Nagudi kuiwakilisha Uganda Miss East Africa 2012 »

Miss Ayisha Nagudi mwenye urefu wa meta 1.82 ni mwanafunzi wa Mwaka II Chuo Kikuu cha Makelele jijini Kampala.

Na Mwandishi Wetu MREMBO aliyetangazwa mwishoni mwa wiki, Miss Ayisha Nagudi (23) kutoka nchini Uganda anatarajiwa kuiwakilisha nchi yake katika fainali za mashindano ya Urembo…

May 20 2012 / No Comment / soma zaidi »
Michezo Wachezaji wa timu ya Chelsea wakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe la Ubingwa wa Ulaya jana. Chelsea iliifunga Bayern Munich kwa penalti 4-3

Chelsea mabingwa Ulaya, waichapa Bayern nyumbani

CHELSEA wametimiza ndoto za kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kuifunga Bayern Munich kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 120, kwenye Uwanja wa Allianz Arena, Munich, Ujerumani. Shujaa wa…

May 20 2012 / soma zaidi »
Burudani Miss Ayisha Nagudi mwenye urefu wa meta 1.82 ni mwanafunzi wa Mwaka II Chuo Kikuu cha Makelele jijini Kampala.

Ayisha Nagudi kuiwakilisha Uganda Miss East Africa 2012

Na Mwandishi Wetu MREMBO aliyetangazwa mwishoni mwa wiki, Miss Ayisha Nagudi (23) kutoka nchini Uganda anatarajiwa kuiwakilisha nchi yake katika fainali za mashindano ya Urembo Afrika Mashariki na Kati (Miss East Africa 2012). Washiriki wa kinyang’anyiro…

May 20 2012 / soma zaidi »
Michezo na Burudani Miss Ayisha Nagudi mwenye urefu wa meta 1.82 ni mwanafunzi wa Mwaka II Chuo Kikuu cha Makelele jijini Kampala.

Ayisha Nagudi kuiwakilisha Uganda Miss East Africa 2012

Na Mwandishi Wetu MREMBO aliyetangazwa mwishoni mwa wiki, Miss Ayisha Nagudi (23) kutoka nchini Uganda anatarajiwa kuiwakilisha nchi yake katika fainali za mashindano ya Urembo Afrika Mashariki na Kati (Miss East Africa 2012). Washiriki wa kinyang’anyiro…

May 20 2012 / soma zaidi »
Habari za Vijijini Mwanafunzi Mwenjuma M. Magalu aliyechaguliwa kujiunga na Shule ya Sekondari Komnyang’anyo wilayani Handeni akimuonesha mwandishi fomu ya kuitwa shuleni

‘Ashindwa kujiunga na Sekondari Handeni kwa kukosa ada’

Na Joachim Mushi, Handeni LICHA ya Serikali kuliarifu Bunge la Tanzania kuwa wanafunzi wote waliofaulu darasa la saba mwaka 2011 kutoka mikoa 12 tayari wamejiunga na kidato cha kwanza, imebainika bado kuna wanafunzi wameshindwa kujiunga na…

May 15 2012 / soma zaidi »
Matukio Katika Picha Nancy Pelosi (kushoto) Zitto Kabwe na Dennis Kucinich

Zitto afanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Pelosi

Mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa zamani wa Marekani Nancy Pelosi (kushoto) na Mbunge Dennis Kucinich.…

May 19 2012 / soma zaidi »
Uchambuzi Jengo la Ikulu ya Tanzania iliyopo jijini Dar es Salaam

Ikulu yampiga stop mmiliki wa Moses Nursery

SIKU chache zilizopita, Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Moses Nursery ya Yombo Vituka, Dar es Salaam, Moses Kabambara amekuwa anasambaza kadi kwa watu binafsi, makampuni, mashirika na ofisi za ubalozi zilizoko nchini akisaka michango kwa…

May 18 2012 / soma zaidi »
Scholarships Wanawake nane walionufaika na Mfuko huo mwaka 2010 wakionekana pichani

The Margaret McNamara Memorial Fund 2012-13 for Female Students studying in the US and Canada

  Call for scholarship applications for students from developing countries who are currently studying in the United States or Canada. Study Subject(s):Various Course Level:Graduate Scholarship Provider: The Margaret McNamara Memorial Fund Scholarship can be taken at:…

Oct 9 2011 / soma zaidi »

 

 

Log in |

 

My title