Vurugu Arusha; Wabunge Arfi, Lissu, Akunaay Watiwa Mbaroni »
WABUNGE wanne wa Chadema, Said Arfi (Mpanda Mjini), Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti Maalumu) wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na mkusanyiko usio halali kwenye Uwanja wa Soweto jana. Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja alisema jana kwamba pamoja na wabunge hao pia wamewakamata watu wapatao 60 kutokana na vurugu [...]…
Jun 19 2013 / No Comment / Habari zaidi »
Wanafunzi Kidato cha Sita Wabebeshwa Mzigo wa Ualimu Sayansi Rombo »
Na Thehabari.com, Rombo KITENDO cha upungufu wa walimu wa sayansi nchini hasa katika shule za sekondari zinazomilikiwa na serikali kimezidi kuibua changamoto maeneo mbalimbali nchi. Shule ambazo kwa sasa zinakabiliwa na changamoto hiyo kwa kiasi kikubwa ni sekondari za kata ambazo uwingi wake umechochea zaidi changamoto hiyo. Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro ni miongoni mwa [...]…
Jun 19 2013 / No Comment / Habari zaidi »
Mpigie kura Amir Nando abaki ndani ya nyumba! »
Amir anashiriki kwenye “Big Brother Africa”. Kwa sasa hivi anahitaji msaada wetu …Amir is up for eviction this week… Naomba tumpe vote ili asitolewe. Vilevile naomba tuhamasishe ndugu, jamaa, na marafiki wa nchi mbalimbali wampe vote. …Please vote #TeamNando…NO EVICTION TO TEAM NANDO……LET’S SUPPORT HIM PLEASE!!!.. at http://bigbrotherafrica.dstv.com/vote/ Tunamtakia ushindi!…
Jun 19 2013 / No Comment / Habari zaidi »
Timu ya EAC ya Waangalizi wa Uchaguzi Kenya Yaandaa Ripoti »
Na Mtuwa Salira, Arusha TIMU ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ya Waangalizi wa Uchaguzi wa Kenya uliomalizika hivi karibuni inakutana mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro kufanya tathmini ya uchaguzi huo mkuu kisha kuanda ripoti kwa ajili ya Baraza la Mawaziri wa EAC kabla ya kukabidhiwa kwa wakuu wa nchi. Mkutano huo pamoja na mambo mengine [...]…
Jun 17 2013 / No Comment / Habari zaidi »
Kauli ya Rais Kikwete Juu ya Mlipuko wa Bomu Mkutano wa Chadema »
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mfadhaiko, mshituko na huzuni kubwa taarifa za shambulio la mlipuko lililotokea katika mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mjini Arusha jioni ya Juni 15, 2013, tukio ambalo limesababisha vifo vya watu wawili na majeruhi ya Watanzania kadhaa. Aidha, Rais Kikwete ametuma [...]…
Jun 17 2013 / No Comment / Habari zaidi »






























