Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 906

Category: Habari za Nyumbani

JK atoa salam za rambirambi kufuatia kuzama meli ya MV SKAGIT bahari ya hindi

Posted on: July 19, 2012July 19, 2012 - jomushi
JK atoa salam za rambirambi  kufuatia kuzama meli ya MV SKAGIT bahari ya hindi

Tarehe 18 Julai, 2012, majira ya alasiri kumetokea ajali ya kuzama kwa meli ya MV SKAGIT katika eneo la Chumbe, Zanzibar. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea…

Continue Reading....

Bunge lapokea taarifa ajali ya Mv. Sky Get, abiria 113 hawajulikani walipo

Posted on: July 19, 2012 - jomushi
Bunge lapokea taarifa ajali ya Mv. Sky Get, abiria 113 hawajulikani walipo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma BUNGE la Tanzania muda mfupi limepokea taarifa fupi ya ajali ya Meli ya Mv. Sky Get iliyotokea jana eneo la Chumbe…

Continue Reading....

Mama wa mwanafunzi aliyeshindwa kujiunga na sekondari Handeni afariki dunia

Posted on: July 19, 2012 - jomushi
Mama wa mwanafunzi aliyeshindwa kujiunga na sekondari  Handeni afariki dunia

Na Joachim Mushi, wa dev.kisakuzi.com MAMA wa mwanafunzi Mwenjuma Magalu aliyechaguliwa kujiunga na Shule ya Sekondari Komnyang’anyo wilayani Handeni na kushindwa kujiunga na shule hiyo…

Continue Reading....

Waliokufa hadi sasa ajali ya Mv. Sky Get wafikia 31, wengi waokolewa

Posted on: July 19, 2012 - jomushi
Waliokufa hadi sasa ajali ya Mv. Sky Get wafikia 31, wengi waokolewa

Na Mwandishi Wetu IDADI ya maiti zilizopatikana hadi sasa katika ajali ya meli ya Mv. Sky Get iliyozama jana mchana eneo la Chumbe nje kidogo…

Continue Reading....

Mnyika ahojiwa na Polisi Singida, atoa maelezo ya kurasa 12

Posted on: July 19, 2012 - jomushi
Mnyika ahojiwa na Polisi Singida, atoa maelezo ya kurasa 12

Na Mwandishi Wetu, Singida MBUNGE wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amehojiwa na Jeshi la Polisi…

Continue Reading....

JK amteua Dkt Wilbald Lorri kuwa Msaidizi masuala ya lishe

Posted on: July 19, 2012July 19, 2012 - jomushi
JK amteua Dkt Wilbald Lorri kuwa Msaidizi masuala ya lishe

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Wilbald Lorri kuwa Msaidizi wa Rais, Masuala ya Lishe (Nutrition). Taarifa iliyotolewa Jumatano,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari