Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 419

Category: Habari za Nyumbani

Mwenyekiti Bunge la Katiba Ahaidi Walemavu Kupewa Haki Katiba Mpya

Posted on: September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Mwenyekiti Bunge la Katiba, Walemavu na haki
Mwenyekiti Bunge la Katiba Ahaidi Walemavu Kupewa Haki Katiba Mpya

Na Benedict Liwenga, Maelezo – Dodoma MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amewahakikishia Watu wenye Ulemavu nchini kuwa wanatendewa haki katika Katiba Mpya…

Continue Reading....

Waziri Awataka Vijana Kuitumia Sekta ya Sanaa Kama Mkombozi wa Ajira

Posted on: September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Ajira, Sekta ya Sanaa, Vijana
Waziri Awataka Vijana Kuitumia Sekta ya Sanaa Kama Mkombozi wa Ajira

Na Genofeva Matemu – WHVUM VIJANA kutoka nchi za Afrika ya Mashariki wameshauriwa kujikita katika sekta ya sanaa kwani ni fani ambayo inatoa nafasi kubwa…

Continue Reading....

JWTZ Watimiza Miaka 50 Tangu Kuanzishwa…!

Posted on: September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: JWTZ, Miaka 50
JWTZ Watimiza Miaka 50 Tangu Kuanzishwa…!

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo limetimiza Miaka 50 toka Kuanzishwa kwake mnamo tarehe 1/09/1964. JWTZ ni moja ya Jeshi lililotajwa na Mtandao mmoja…

Continue Reading....

Kikwete Amvalisha Chiligati ‘Kiatu’ cha Makinda…!

Posted on: September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Chiligati, kikwete, Makinda
Kikwete Amvalisha Chiligati ‘Kiatu’ cha Makinda…!

“NIMSHUKURU Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete kwa kuniona na kuniamini na hivyo, kuniteua ili niweze nami kuvaa kiatu anachokiacha…

Continue Reading....

Ikulu Yamtumia Rambirambi RC Mbeya Vifo vya Watu 10

Posted on: September 1, 2014September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Ikulu, Mbeya, Rambirambi
Ikulu Yamtumia Rambirambi RC Mbeya Vifo vya Watu 10

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro kuomboleza vifo vya…

Continue Reading....

TAMWA Yashauri Taifa Liwekeze kwa Watoto

Posted on: September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: liwekeze kwa watoto, Taifa, TAMWA
TAMWA Yashauri Taifa Liwekeze kwa Watoto

CHAMA cha Wanahabari Wanawake nchini Tanzania (TAMWA) kimeitaka Serikali na jamii kwa ujumla kuwekeza katika kumuandaa mtoto kwani licha ya kuwa zawadi kubwa, watoto pia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari