Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 420

Category: Habari za Nyumbani

Mradi wa Micro Science Kit Wamalizika kwa Mafanikio

Posted on: September 1, 2014September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Micro Science Kit, Wakamilika

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akisoma risala ya kufungwa kwa mradi huo ambao…

Continue Reading....

Mradi wa Kusaidia Vijana Kupunguza Ngono…!

Posted on: September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Ngono, Vijana Kupunguza
Mradi wa Kusaidia Vijana Kupunguza Ngono…!

Na Mwandishi Wetu SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono, imebainisha haja ya elimu…

Continue Reading....

Wabunge EALA Watembelea Taasisi ya Sanaa, Utamaduni Bagamoyo

Posted on: September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Bagamoyo, Taasisi ya Sanaa, Utamaduni, Wabunge EALA
Wabunge EALA Watembelea Taasisi ya Sanaa, Utamaduni Bagamoyo

Na Eleuteri Mangi – MAELEZO WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wakiongozwa na Spika wa Bunge hilo Dk. Margaret Zziwa wametembelea Taasisi…

Continue Reading....

Kagera Yachukua Tahadhari Kujikinga na Ebola

Posted on: September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Ebola, Kagera, Yajikinga
Kagera Yachukua Tahadhari Kujikinga na Ebola

Na Aron Msigwa – MAELEZO, Kagera MKOA wa Kagera umechukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Ebola  kwa kuongeza udhibiti na ukaguzi wa raia wa kigeni…

Continue Reading....

Mama Salma Aitaka Jamii Kushirikiana Kuwalea Yatima

Posted on: August 31, 2014 - jomushi
Post Tags: Mama Salma, Yatima
Mama Salma Aitaka Jamii Kushirikiana Kuwalea Yatima

Na Anna Nkinda – Maelezo JAMII imetakiwa kushirikiana kwa pamoja kuwalea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi kwani wengi wao hawana wazazi na walezi…

Continue Reading....

Wananchi Mwanagati, Kitunda Wailalamikia TANESCO

Posted on: August 31, 2014 - jomushi
Post Tags: Kitunda, TANESCO, Wailalamikia
Wananchi Mwanagati, Kitunda Wailalamikia TANESCO

WANANCHI wa Mwanagati – Kitunda jijini Dar es Salaam na maeneo jirani wamelilalamikia shirika la TANESCO kwa kukatiwa umeme kwa siku tatu mfululizo, bila taarifa yoyote…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari