Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 406

Category: Habari za Nyumbani

Ilala Kudhibiti Uzito wa Magari, Kujenga kwa Zege Barabara…!

Posted on: September 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Ilala Kudhibiti Uzito, Magari, Zege Barabara
Ilala Kudhibiti Uzito wa Magari, Kujenga kwa Zege Barabara…!

Na Mwandishi Wetu, Dar HALMASHAURI ya Ilala imepanga kuunda kitengo kitakachodhibiti uzito wa magari kwa kuweka mizani zinazohamishika katika maingilio yote ya barabara kuu za…

Continue Reading....

Usajili Maombi ya Vitambulisho Waanza Morogoro

Posted on: September 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Morogoro, Usajili, Vitambulisho
Usajili Maombi ya Vitambulisho Waanza Morogoro

MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Imeanza rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu Mkoa wa Morogoro pamoja na uchukuaji alama za vidole, picha…

Continue Reading....

Wasichana Milioni 58 Waolewa Chini ya Miaka 18…!

Posted on: September 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Waolewa Chini ya Miaka 18, Wasichana Milioni 58
Wasichana Milioni 58 Waolewa Chini ya Miaka 18…!

Na Anna Nkinda – Maelezo, New York ZAIDI ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na umri wa chini ya miaka 18 kati ya hao milioni…

Continue Reading....

Zaidi ya Milioni 414.9 Zatolewa Kuwasaidia Vijana

Posted on: September 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Kuwasaidia Vijana, Milioni 414.9
Zaidi ya Milioni 414.9 Zatolewa Kuwasaidia Vijana

Na Daud Manongi MFUKO wa Maendeleo ya Vijana (YDF) umeendelea kuwa miongoni mwa fursa zinazowasaidia vijana katika kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira miongoni…

Continue Reading....

Bunge la Katiba Labadili Kanuni, Wabunge Kupiga Kura Popote

Posted on: September 23, 2014 - jomushi
Post Tags: bunge la katiba, Kura Popote, wabunge
Bunge la Katiba Labadili Kanuni, Wabunge Kupiga Kura Popote

Na Benedict Liwenga, Maelezo – Dodoma   BUNGE Maalum la Katiba limefanya marekebisho ya kanuni ili kuliwezesha kufikia hatua ya mwisho ya upigaji kura kuanzia…

Continue Reading....

Rasimu ya Katiba Iliyopendekezwa Kuwasilishwa Bungeni Sept 24

Posted on: September 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Bungeni Sept 24, Rasimu ya Katiba
Rasimu ya Katiba Iliyopendekezwa Kuwasilishwa Bungeni Sept 24

Na Benedict Liwenga na Magreth Kinabo RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu. Mabadiliko hayo yametangazwa na Katibu wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari