Na Mwandishi Wetu, Dar HALMASHAURI ya Ilala imepanga kuunda kitengo kitakachodhibiti uzito wa magari kwa kuweka mizani zinazohamishika katika maingilio yote ya barabara kuu za…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Usajili Maombi ya Vitambulisho Waanza Morogoro
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Imeanza rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu Mkoa wa Morogoro pamoja na uchukuaji alama za vidole, picha…
Continue Reading....Wasichana Milioni 58 Waolewa Chini ya Miaka 18…!
Na Anna Nkinda – Maelezo, New York ZAIDI ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na umri wa chini ya miaka 18 kati ya hao milioni…
Continue Reading....Zaidi ya Milioni 414.9 Zatolewa Kuwasaidia Vijana
Na Daud Manongi MFUKO wa Maendeleo ya Vijana (YDF) umeendelea kuwa miongoni mwa fursa zinazowasaidia vijana katika kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira miongoni…
Continue Reading....Bunge la Katiba Labadili Kanuni, Wabunge Kupiga Kura Popote
Na Benedict Liwenga, Maelezo – Dodoma BUNGE Maalum la Katiba limefanya marekebisho ya kanuni ili kuliwezesha kufikia hatua ya mwisho ya upigaji kura kuanzia…
Continue Reading....Rasimu ya Katiba Iliyopendekezwa Kuwasilishwa Bungeni Sept 24
Na Benedict Liwenga na Magreth Kinabo RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu. Mabadiliko hayo yametangazwa na Katibu wa…
Continue Reading....